Graph
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 2,735
- 6,165
Habara ya miaka ya nyuma imerudishwa leo.
Muwe mnafuatilia kwanza kabla ya kucopy na kupaste, ni vizuri kutuhabarisha ila haraka haraka mnaishia kuleta fake news.
Hii habari ni ile loan ya kujenga bandari aliyoigomea sababu walikua wanataka kuchukua control ya bandari nzima wajiamulie wanavyotaka, ni ushenzi na rais yeyote mwenye akili timamu angekataa, jakaya alikubali lakini kufuli alivyoingia tu akasema hapana
Muwe mnafuatilia kwanza kabla ya kucopy na kupaste, ni vizuri kutuhabarisha ila haraka haraka mnaishia kuleta fake news.
Hii habari ni ile loan ya kujenga bandari aliyoigomea sababu walikua wanataka kuchukua control ya bandari nzima wajiamulie wanavyotaka, ni ushenzi na rais yeyote mwenye akili timamu angekataa, jakaya alikubali lakini kufuli alivyoingia tu akasema hapana