Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Sasa irene alipaswa kujenga hoja na kuzuia hili hata kama angeshindwa ila at least angejaribu...hatutaki watu wa kufuata kila wanachoambiwa bila kutumia akili zao.. pale sio jeshini
 
[emoji23]
[emoji23]
[emoji23]
[emoji23]
[emoji23]
mbuzi wa kafara
 
Mfano wako haufanani na hali halisi hata kidogo!
 

Umesema vizuri sana kumpotosha Rais. Wako wengi sana wanao save 5th government with the spirit of the 4th goverment na ni janga kwa taifa hili.
 
Ni fundisho kwa watendaji wengine wenye roho mbaya za kuwakandamiza watumishi wa umaa maana bado ktk baadhi ya taasisi za serikali kuna viongozi wanawakatisha tamaa watumishi watiifu kwa nchi yao.
Hakika Rais Magufuli ni muokozi wa wanyonge wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…