Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

Inategemea. Kuna watu wakiwa wanajenga nyumba utasema wao ndo mafundi, wanaelekeza kila kitu. Ss Kama alikuambia tutumie cement, nondo na matofali ya aina flani ukamwambia No tumia ya aina ninayotaka mm na ukamnunulia ukapeleka, halafu ukampangia na ajenge kwa ratio gani ule Ufa Utakuwa unakuhusu wewe sema unaweza mlaumu tu sababu yeye Ndo mkandarasi.
Kuhusu huyu aliyesimamishwa kazi ni sawa, hata mm ningemsimamisha maana utetezi wa 25 to 20% kwe runinga sijui alitumia nn kufikiri.
 
ANGETENGUA NA WALIOFUTA FAO LA KUJITOA.
UNAACHISHWA/KUACHA KAZI LEO UKIWA UMECHANGIA MILLION 5,LAKINI KUICHUKUA UNAAMBIWA BAADA YA MIAKA 15 AU 20,HIVI MILLION TANO YA LEO BAADA YA MIAKA 10 ITAKUWA NA THAMANI ILEILE?MAANA HATA FAIDA HUPEWI!
 
Pole yake huyu mrembo , lakin naamini Ni kambuzi ka kafara tu haka , wahusika wakubwa wanapeta

Mfano , muhagama anasubiri nini
 
Na ndiyo somo nalofundisha kwenye thread hii. Bora uweke legacy nzuri kuliko mbaya! Simama upande wenye haki hata kama utakufa kwa njaa kuliko upande wa dhuluma huku unashiba!
 
Huyu Dada masikini naona katolewa kafala kupitia komedi hii ambayo steering wake ana uwezo mdogo sana,

Eti baada ya stone kuzungumza na wahusika vyama vya wafanyakazi wanaimba na kushangilia.

Eti viongozi pamoja na wanachama Wa mifuko ya wafanyakazi huko mwanza wameandamana wakiwa na mabango makubwa yaliyochapishwa ya kumsifia stone dakika chache baada ya jiwe kutoa tamko lake. Mwenye akili anaweza kutambu ni nani ni teering Wa hii fake movie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu anaangalia sura za kutumbua ,

Mfano ... Muhagama , makonda etc
 
Sasa irene alipaswa kujenga hoja na kuzuia hili hata kama angeshindwa ila at least angejaribu...hatutaki watu wa kufuata kila wanachoambiwa bila kutumia akili zao.. pale sio jeshini
Ivi unafikiri ni rahisi kihivyo kwenda tofauti na waliokuteua.au mabosi zako muulizeni mwanasheria wa Zanzibar wa kipindi kile ilikuwaje. Huyu ni mbuxi katolewa kafara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…