Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akumbushwe kuwa vitambulisho vya ujasiriamali vina expire 30/12/2020.Rais Dk. John Magufuli, amekemea suala la wananchi kununua bidhaa bila kupewa risiti huku pia akiiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwashughulikia wafanyabiashara wanaohujumu uchumi kwa kutoa risiti za uongo.
'Wananchi hakikisha unachukua risiti kwa kila bidhaa unayonunua na muuza duka pia atoe risiti ambayo hela yake amepokea. Kumekuwa na tabia muuzaji anauza bidhaa ya milioni mbili yeye anatoa risiti ya elfu mbili, nimeagiza TRA hao wote washughulikiwe"
Kilio gani wewe ukinunua bidhaa ya laki moja ukapewa risiti ya laki moja?Kilio chaja
HAKUNA sababu ya kuhalalisha wizi.Kabla ya kuwachukulia hatua, wajiulize kwanini wafanyabiashara wanadanganya kutoa risiti zisizo sahihi au kutotoa kabisa,
Badala ya mamlaka kuwachukulia hatua watafute sababu ni nini au kwnini kuna udanganyifu, kwanini wafanyabiashara wanakwepa kutoa risiti
Ni Tanzania tu ndiko Rais ana deal na trivialities yaani nitty gritty. Kweli mnampeleka mtu Ikulu badala ya ku-deal mambo strategic ya kujenga uchumi anaanza ku- deal na risiti za petrol station za Ths 10,000.
This is too low for a president of a country like Tanzania with 59 Million people.
Na hili serikali inalijua au sio?wamachinga ndio wanaokwamisha, wanachukua vitu kwa mali kauli kwa wahindi wanamwaga vitu mitaani alafu aje TRA eti anataka kodi alafu machinga anauza vitu nje bila risti hapo serikali itaendelea kupigwa tu
SureKodi zimekua nyingi na kubwa hazilipiki kirahisi, nafikiri ni wakati waziri wa fedha na team yake ku review viwango na sheria za kodi
Uzuri ni kwamba wasaidizi wake amewachagua mwenyewe siyo mimi. Kama wasaidizi ni mediocre basi na aliyewachagua naye ni mediocre.Yani wewe ndo uko too low kama wasaidizi wake wamelala unataka na yeye alale. He knows what is doing....miradi lazima iishe na lazima tulipe kodi kwa maendeleo ya nchi watu wangekuwa wanajua wajibu wao wa kulipa na Kudai receipt na wafanyabiashara kutoa receipt sahihi do you think Mr. President ungemwita too low[emoji23]
1.Serkali itoe wamachinga mijini katkat, haswa Arusha Dar na Mwanza. Watafutiwe maeneo yao rasmi. Mfano KWA Arusha Ile stand ndogo ijengwe maduka ya kutosha.Wamachinga ndio wanaokwamisha, wanachukua vitu kwa mali kauli kwa wahindi wanamwaga vitu mitaani alafu aje TRA eti anataka kodi alafu machinga anauza vitu nje bila risti hapo serikali itaendelea kupigwa tu
We toa risiti bhana! Biashara za kizembe achana nazo. Biashara siyo ujanja ni elimu na ufahamu.Leo jioni au Kesho kuna wawili watatu washikwa na kutolewa kwenye taarifa ya habari kumuonesha Mungu kwamba wanafanya kazi
Check TV yako au gazeti utaona,leo au Kesho
Nchi isiyokua na mifumo,nchi inayofata matamko ya mungu mtu!
Sheria zote duniani hutungwa kwa ajili ya wanyonge.Kweli ni kosa kutoa receipt isiyo na figure ya kweli, ila hata yeye juzi ametangazwa mshindi kwenye uchaguzi kwa matokeo yasiyo ya kweli. Tabia anayoikataa kwenye receipts, ndio tabia iliyompa madaraka. Pamoja na kuwa kweli kuna baadhi ya wafanyabiashara wanatoa receipts Zen figure ndogo kulingana na figure halisi, lakini ukweli ni kuwa makusanyo yameshuka kutoka na maamuzi yake mabovu kwenye sekta ya biashara.
Sheria zote duniani hutungwa kwa ajili ya wanyonge.
hali isha kuwa Mbaya paka kaamua kuingia FieldRais Dk. John Magufuli, amekemea suala la wananchi kununua bidhaa bila kupewa risiti huku pia akiiagiza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwashughulikia wafanyabiashara wanaohujumu uchumi kwa kutoa risiti za uongo.
'Wananchi hakikisha unachukua risiti kwa kila bidhaa unayonunua na muuza duka pia atoe risiti ambayo hela yake amepokea. Kumekuwa na tabia muuzaji anauza bidhaa ya milioni mbili yeye anatoa risiti ya elfu mbili, nimeagiza TRA hao wote washughulikiwe"
Biashara ni ngumu na Wafanyibiashara hawapati faida yoyote ndo maana wanadanganya kuhusu kipato chao !Kabla ya kuwachukulia hatua, wajiulize kwanini wafanyabiashara wanadanganya kutoa risiti zisizo sahihi au kutotoa kabisa,
Badala ya mamlaka kuwachukulia hatua watafute sababu ni nini au kwnini kuna udanganyifu, kwanini wafanyabiashara wanakwepa kutoa risiti
Dada ni petrol station za wapi hazitoi receipt? Mana bora ungetoa mfano mwingine lakini sio petrol station wao pump zimeunganishwa na mashine ya receipt akiuza receipt inatokaAsante Rais Magufuli kwa kuliona hilo.
TRA wamelala usingizi wa pono. Duniani kote kodi lazima ilipwe! Nchi za wenzetu unafanya kulazimishwa risiti yako inaingizwa mfukoni. Maduka mengi hasa super markets kwa Tanzania ni mfano wa kuingwa.
Wizi huu kwa sasa umeshika kasi kwenye vituo vya mafuta. Mashine hazitoi risiti na kuna risiti za aina mbili.
Nashauri TRA wangetoa zawadi hata asilimia mbili ya pesa inayoibwa kwa kutokutoa risiti au kupewa risiti feki zoezi lingeenda kwa kasi kubwa nchi nzima. Ukitaka kula lazima uliwe by JK
Queen Esther