Rais Magufuli awatumbua Kitila Mkumbo, Ole Sendeka na Katambi, awateua Jumanne Fhika, Dr. Aloyce Nzuki, Allan Kijazi, Josephat Paulo, Kemikimba

Jifunzeni kuridhika.
 
Hili ni suala la kutunza kumbukumbu tu...
Wengi tumeshasahau hayo tunasonga mbere...
Maendeleo hayana chama!!
 
Hageuki?Mbona alisema kwny serikali yake mtu akiharibu sehemu moja atamtumbua tu,mambo ya kumhamishia sehemu nyingine marufuku.

Akawatumbua Mwigulu,Simbachawene,Kamishina Andengenye akiwaponda balaa lkn akawarudisha tena akisema wao ni wazalendo sana na wachapa kazi.

Achana na maneno ya wanasiasa mzee baba.
 
Ukitumia akili vizuri, ubunge miaka 5 tu unatosha kutoka kimaisha. Mambo mengine ni stress tupu ndiyo maana watu wanaona isiwe tabu.
Wasipopitishwa je?
Ile kauli "...heri kenda chukua kuliko kumi nenda rudi!!" Ikatimia.
Ni WALAFI NA WANA TAMAA YA FISI...
AIDHA KUNA UDHAIFU KATIKA UTENDAJI WAO "HAWATUFAI" Na katika hili namuunga mkono Namba moja wetu.
 
Kumbe hawamuogopi tena
Uncle haaaaa umenikasirisha sana , jamaa mwaka wa 20 anendelea kuwa mbunge wetu, anafikia record ya Babu Msuya. Yaani sisi wana Mwanga kama mazezeta. Suburi uone LINARUDI. Bado nipo kijijini Kirongwe. Kuna sehemu jamaa ikipigwa kampeni anaenda, kama kata ya Msangeni, Mwaniko, Ngujini na Kifula. sehemu zingine linakubalika.
 
Wasipopitishwa je?
Ile kauli "...heri kenda chukua kuliko kumi nenda rudi!!" Ikatimia.
Ni WALAFI NA WANA TAMAA YA FISI...
AIDHA KUNA UDHAIFU KATIKA UTENDAJI WAO "HAWATUFAI" Na katika hili namuunga mkono Namba moja wetu.
Wasipopitishwa si basi.
Bado dhana ipo palepale kuwa ubunge unalipa.
 
Haya yaliwahi kutokea tawala zilizopita, mtu ni mbunge, mkuu wa mkoa nk
Enzi za JK Engineer Stella Manyanya alishakamata vyeo hivyo vyote alikua ni Mbunge,Naibu waziri na RC hapohapo.
 
Enzi za JK Engineer Stella Manyanya alishakamata vyeo hivyo vyote alikua ni Mbunge,Naibu waziri na RC hapohapo.
Lukuvi pia nakumbuka amewahi kuwa mkuu wa mkoa Dodoma na ubunge
 
Tulia, tulia, tulia, tutaongea kwa kirefu
 
Ni usanii tu, anatuzuga kuwa hajawapa baadhi ya wateule wake baraka za kugombea wakati wana go ahead yake.

Siamini kama Kitila anaweza kugombea bila kupewa go ahead!
Mbona alishasema atakayeomba ruhusa atapewa na kumnyima ruhusa ni kutenda dhambi kubwa
 
Nakuona pinga pinga kila kitu.

Wahenga walisema'MSHIKA MAWILI MOJA UMPORONYOKA". Hii misemo ya WAHENGA haikuja kwa bahati mbaya yakheee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…