Jifunzeni kuridhika.Magufuli aache watu wawe huru kufanya watakalo muhimu wasimuharibie kazi, huwezi kumfungia mtu ndani kama mbuzi, sio siku zote mtu afanye unalotaka wewe tu, huu nao ni udikteta.
Kwa muendelezo huu ataendelea kuteua wapya kila siku, vyema ajifunze kuheshimu taratibu alizozikuta, asitake kubadilisha kila kitu.
Hili ni suala la kutunza kumbukumbu tu...Siwezi kushangaa, kampeni zake 2015 alisema kwny serikali yake mtu akiharibu sehemu moja kamwe hatahamishiwa sehemu nyingine atamfukuza tu.
Lakini tumeona kwa Mwigulu, Simbachawene, Kamishina Andengenye aliwaponda balaa wkt wa kuwatumbua ila baadae akawarudisha serikalini na kuwapa vyeo huku akisema ni wazalendo haswaa.
Huyu anarejea tu kufundisha. Bila shaka amekwishalifaham hilo.Ubungo
Hageuki?Mbona alisema kwny serikali yake mtu akiharibu sehemu moja atamtumbua tu,mambo ya kumhamishia sehemu nyingine marufuku.Ualimu ni cheo kidogo sana serikalini, hivyo sio tamaa kugombea, ila PS, DPS, RC, RAS, DC, DAS, DED ni tamaa kabisa, na mm najua Mh. Rais akisema hageuki, alisema anawasubiri, uzuri majina yatamfikia, subiri tuone, sbb wameonyesha dharau kubwa sana aisee
Haya yaliwahi kutokea tawala zilizopita, mtu ni mbunge, mkuu wa mkoa nkNaam mkuu,hapo check&balance sijui inafanyikaje?
Hahaha mniombeeee mkuu.Hili ni suala la kutunza kumbukumbu tu...
Wengi tumeshasahau hayo tunasonga mbere...
Maendeleo hayana chama!!
Wasipopitishwa je?Ukitumia akili vizuri, ubunge miaka 5 tu unatosha kutoka kimaisha. Mambo mengine ni stress tupu ndiyo maana watu wanaona isiwe tabu.
Uncle haaaaa umenikasirisha sana , jamaa mwaka wa 20 anendelea kuwa mbunge wetu, anafikia record ya Babu Msuya. Yaani sisi wana Mwanga kama mazezeta. Suburi uone LINARUDI. Bado nipo kijijini Kirongwe. Kuna sehemu jamaa ikipigwa kampeni anaenda, kama kata ya Msangeni, Mwaniko, Ngujini na Kifula. sehemu zingine linakubalika.Kumbe hawamuogopi tena
Wasipopitishwa si basi.Wasipopitishwa je?
Ile kauli "...heri kenda chukua kuliko kumi nenda rudi!!" Ikatimia.
Ni WALAFI NA WANA TAMAA YA FISI...
AIDHA KUNA UDHAIFU KATIKA UTENDAJI WAO "HAWATUFAI" Na katika hili namuunga mkono Namba moja wetu.
Enzi za JK Engineer Stella Manyanya alishakamata vyeo hivyo vyote alikua ni Mbunge,Naibu waziri na RC hapohapo.Haya yaliwahi kutokea tawala zilizopita, mtu ni mbunge, mkuu wa mkoa nk
Lukuvi pia nakumbuka amewahi kuwa mkuu wa mkoa Dodoma na ubungeEnzi za JK Engineer Stella Manyanya alishakamata vyeo hivyo vyote alikua ni Mbunge,Naibu waziri na RC hapohapo.
Tulia, tulia, tulia, tutaongea kwa kirefuUncle haaaaa umenikasirisha sana , jamaa mwaka wa 20 anendelea kuwa mbunge wetu, anafikia record ya Msuya. Yaani sisi wana Mwanga kama mazezeta. Suburi uone LINARUDI. Bado nipo kijijini Kirongwe. Kuna sehemu jama ikipigwa kampeni anaenda kama kata ya Msangeni, Mwaniko, Ngujini na Kifula. sehemu zingine anakubalika.
Swali Halijaeleweka.Unajua tofauti ya kuomba kazi na kupitia hatua zinazotakiwa NA kazi ya kuteuliwa?
wapi?Katolewa au kaamua kujitoa mwenyewe kwa kwenda kutia nia ya Ubunge?
Mbona alishasema atakayeomba ruhusa atapewa na kumnyima ruhusa ni kutenda dhambi kubwaNi usanii tu, anatuzuga kuwa hajawapa baadhi ya wateule wake baraka za kugombea wakati wana go ahead yake.
Siamini kama Kitila anaweza kugombea bila kupewa go ahead!
Wacha waletwe huku mtaani "tuwanyorose" waache madharau ebo!!Wasipopitishwa si basi.
Bado dhana ipo palepale kuwa ubunge unalipa.
Sidhani kama kuna ualimu wa kuteuliwa!Hata yeye hakuridhika kua Mwalimu ndio maana akaenda kugombea ubunge.
Nakuona pinga pinga kila kitu.Magufuli aache watu wawe huru kufanya watakalo muhimu wasimuharibie kazi, huwezi kumfungia mtu ndani kama mbuzi, sio siku zote mtu afanye unalotaka wewe tu, huu nao ni udikteta.
Kwa muendelezo huu ataendelea kuteua wapya kila siku, vyema ajifunze kuheshimu taratibu alizozikuta, asitake kubadilisha kila kitu.
Umemsahau Aggrey MwanriKati ya mtu naona anaenda kuchemka ni Katambi na Olesendeka
Dharau kwa Mwenyekiti.Hizi Ni dharau kwa mwenyekiti wao, kwamba pamoja na angalizo alilolitoa bado wanamuona si lolote si chochote.
Ngoja tuone Kama Mwenyekiti wao atawalamba miguu kwa kuruhusu uteuzi wao, maana alishawapiga ban wasithubutu