Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Wajitafakari kwa lipi sasa?,waislamu ndo jamii zenye nyumba za ibada zenye haliya kiwango kikubwa,,kuna jamii bado wanasali kwenye vibanda vya trubai na salfeti.Wiaslamu tumechelewa katika hilo.Hatuna jeuri wala ujasiri wa kulikemea hilo leo.Reginald Mengi alifuatwa na akachangia misikiti mingi wakati wa Mwinyi.Juzi Kigoma Diamond Platinum,mwanamuziki (haramu katika Uislamu,Mzinzi (kwa ushahidi wa kuwa na watoto nje ya ndoa)kajenga msikiti n akaukabidhi huku akiambatana na kimada.
Hospitali za Misheni zinatibia watu wote bila kubagua.
Kwa hili,msimlaumu JPM amefanya kile kilichomsukuma kukifanya.
Waislamu tujitafakari.
Kuchangia ujenzi msikiti,au kanisa sio ishu ya ajabu kiasi cha kuhitaji mjadala