Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kanisa Katoliki linazidi kuwa kanisa la ovyo ovyo kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa.anatafuta kiki kupitia nyumba za ibada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisa Katoliki linazidi kuwa kanisa la ovyo ovyo kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa.anatafuta kiki kupitia nyumba za ibada
Ila viongozi wa dini wakati mwingine wana wafanya waumini wawadharau. Huyu Baba la baba kuna kipindi aliwakemea sana na kuwatishia hata kuyafunga makanisa.Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Hapo ni Kanisani kwake, utasemaje anachanganya dini na siasa?Ccm Hawachi kusema tusichanganye dini na siasa
Ila wao ccm nisawa kuchanganya
Waovu nitawatukana! (mimi siyo CHADEMA)
Dr Magufuli ni muumini wa Kanisa Katoliki siyo mwanasiasa bwashee!Kanisa Katoliki linazidi kuwa kanisa la ovyo ovyo kwa kukubali kutumiwa na wanasiasa.
Wasaliti hiyo ndio stahiki yaoMungu hapendi binadamu afanye yafuatayo;
1. kupiga au kuagiza wenzako wapigwe risasi
2. Kuteka na kupoteza wenzako
3. Visasi
4.Kubagua watu kwa sababu ya itikadi ya vyama
Haya ni makubwa kuliko ibada
Ila kanisa katoliki Tz ndio linawapenda watu wenye matendo hayo.Mungu hapendi binadamu afanye yafuatayo;
1. kupiga au kuagiza wenzako wapigwe risasi
2. Kuteka na kupoteza wenzako
3. Visasi
4.Kubagua watu kwa sababu ya itikadi ya vyama
Haya ni makubwa kuliko ibada
Tilimwomba? Waislam ndiyo matajiri nchi hii hawashindwi kujenga makao makuu ya Bakwata hata makubwa kuliko PSPF Twin TowerMakonda amewajengea Makao Makuu ya Kisasa ya Baraza lenu la Waislamu Tanzania (Bakwata) bwashee! Una maoni gani katika hili?
Hivi kuna mahali kwenye vitabuvya di i risasi zimesemwa? Maana sijui kama enzi hizo risasi zilikuwa zimeisha vumbuliwa.!Mungu hapendi binadamu afanye yafuatayo;
1. kupiga au kuagiza wenzako wapigwe risasi
2. Kuteka na kupoteza wenzako
3. Visasi
4.Kubagua watu kwa sababu ya itikadi ya vyama
Haya ni makubwa kuliko ibada
Hapo ni Kanisani kwake, utasemaje anachanganya dini na siasa?
CCM inaingiaje hapo bwashee!!!!!
Kwahiyo mhe rais asisali?. Magufuli ni mchamungu sana na anazipenda dini zote.Kampeni zinaendelea na viongozi wa dini, akigawa hela wekeni ushahidi ili mapingamizi yendelee
Morali yangu ya kusali katoliki imeshuka sn, kiss unafiki wao.Ila viongozi wa dini wakati mwingine wana wafanya waumini wawadharau. Huyu Baba la baba kuna kipindi aliwakemea sana na kuwatishia hata kuyafunga makanisa.. Sasa wana jipendekeza kwake tena kipindi cha uchaguzi. Kwamba hawajui simba hafugwi?
Wamuangalie mtu ambae Mungu amemchagua sio kujipendekeza.
Mungu wa "israeli" hachangamani na "miungu baali"Rais Magufuli amehudhuria misa takatifu ya uzinduzi wa Kanisa la parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino jijini Dodoma.
Misa hii inarushwa mubashara TBC na Channel ten....
Jambo jema sana ,mungu ambariki kwa kuunganisha dini hizi mbili kubwa nchiniRais Magufuli amehudhuria misa takatifu ya uzinduzi wa Kanisa la parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino jijini Dodoma...
Angalizo:
Kuanzia 2025 rais atakapokuwa Muislam akianza kuzindua misikiti kila mtaa na TBC kumuonesha akiwa msikitini anaswali tusione manaswara mkinyanyua midomo yenu mirefu.
Ndiyo tunataka Rais wa namna hii wakuunganisha watz wote. Heko Rais wetu!Rais Magufuli amehudhuria misa takatifu ya uzinduzi wa Kanisa la parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino jijini Dodoma.
Misa hii inarushwa mubashara TBC na Channel ten...
Kafie mbele huko wewe. Sijui kwanini Corona hajakuchukua wewe!Jitenge na wauaji, kanisa najisi kabisa katoliki