Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Ndio aliharibu na huwezi jua pengine ni miongoni mwa mambo anayajutia sana sasa hivi
 
Wewe kweli ni kafiri
 
We mtoa post umekosea sana na udini unakusumbua,nataka tu kukukumbusha kwamba Rais ni kiongozi wa nchi na nchi haina dini
Ndio ni raisi wa nchi hivyo ana nafasi nyingi za kutafuta mahari muafaka wa kuchangia huo msikiti. Ninacho ona ana nia nzuri lakini hakuusoma mchezo vizuri au hakupata ushauri muafaka hasa wakati huu wa uchaguzi.
 
Hakuna tofauti ya kupewa chuo cha kiislam na kisaidiwa kujenga msikiti: hapakuwa na chuo cha kiislam, mkristo akawapa chuo, hakuna msikiti, wakristu wanawachangia kujenga msikiti
Kwa sababu huna ujualo mkuu kuhusu uislam.

Sorry to say
 
Hoja yako ya kwamba eti kwa kuwa limefanywa ujerumani ndio sahihi na Sisi tufuate tu ndio ninalopinga hapa.
Hoja yangu hunaielewa, hoja yangu ni kuwa Mola wako unayemwabudu aliabudiwa katika sinagogi lilojengwa na wakristu. Ima kama wewe waabudu tofauti unijulishe niache kuchangia
 
Tena hapo haujaanza muda wa push-ups sijui ukianza badae wiki hii tutaona nini!
 
Kuna sehemu kwenye Quoran inasema " Rafiki wa muislam ni mkristo" Urafiki katika shida na raha ikiwepo kuchangiana kama ilivyo kwenye Sherehe za harusi.
 
Ndio aliharibu na huwezi jua pengine ni miongoni mwa mambo anayajutia sana sasa hivi
Kwa nini tuandikie mate na wino upo? Nimesema wote wawili, mnunuaji na muuzaji bado wako hai. Kwa nini kama unadhani muuzaji unajutia kitendo chake usifuatilie na kuujua ukweli?
 
Basi wazikatae hizo pesa tujue
 
Nia ya Rais ni kufanya Chamwino iwe na nyumba za ibada nzuri. Ila kwa wenzetu wengine kila kitu ni makosa. Rais waache maana sidhani kama kuujenga msikiti kwa harambee ni dhambi mnayoisimulia. Iweje kujenga kwa kodi za umma sio tatizo?
 

Astakafirulah laana kuum
 
Ha
Ushoga muulize magufuli na maige aliekufa kama wanaukubali au hawaukubali pale makonda alipoanza kupambana nao
na tunafahamu kuwa risasi zilivuruga kabisa eneo lote la kiumeni huyo ni anisi ndio maana anataka kutuletea hizo habari.
 
Ila haina shida, mbona huku mtaani huwa tunachangia 200 za kujenga MASJID ambazo zitageuzwa sunday school kwa mujibu wa Gwajima!
Sisi wakristo hata akitokea sheikh kipozeo atuchangie kujenga kanisa hatuna shida kabisa ndio maana hata bakwata ilianzishwa na wakristo na mambo yanasonga tu.
Ila mambo tunayofanya sisi wakristo laiti angefanya muislamu!
 
Wakatoliki wamewachukia wapi waislam? na waislam wamewachukia wapi wakristo/wakatoliki?
Au mnapenda tu waanze kuchukiana?
Mkuu,

With all due respect, you won't be able to see it because that how you have been PROGRAMMED.

Nenda msome mtu anaitwa SULEIMAN TAKADIR.

Au nikikwambia tu kamsome mzee Mohamed Said na maandiko yake utasema hupendi because huyo ni mdini
 
Aisee, hii kali

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…