Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Mungu hapendi binadamu afanye yafuatayo;
1. kupiga au kuagiza wenzako wapigwe risasi
2. Kuteka na kupoteza wenzako
3. Visasi
4.Kubagua watu kwa sababu ya itikadi ya vyama

Haya ni makubwa kuliko ibada
5.Kutoa lugha iso staha, kejeli/matusi
6.Kusingizia uongo
7.Kutishia usalama wa mashangazi wa wengine
 
Sawa Sheikh! Nimekupata. Ila kuna jambo unatakiwa pia kuwashukuru hao Wakatoliki. Wamewachangia mzigo wa kutosha tu na ahadi kedekede kupitia ile harambee kwa ajili ya ujenzi wa msikiti wenu kule Chamwino.

Siku ukitembelea maeneo hayo na kuswali kwenye huo msikiti, basi usije ukasahau na Waumini wa Kikatoliki nao walishiriki kuchangia chochote ili ndugu zao Waislamu nao wapate sehemu nzuri ya ibada.

Watanzania siku zote ni wamoja. Ni hawa wanasiasa tu uchwara ndiyo wanajitahidi kutufarakanisha. Ingawa nina imani hawatafanikiwa kamwe.

NB: Usiseme tena 'kwani tuliwaomba' si kiherehere chenu tu na huyo mkatoliki mwenzenu!

Wewe utakuwa mfuasi wa Lusuferi. Maana unapenda sana sifa. Yesu anasema ukitoa sadaka yako kwa mkono wa kulia basi hata ule wa kushoto usijue ulichotoa. Hii parapanda unayopiga hapa ina mkono wa shetani
 
Akimwangalia Lissu mpaka sasa haelewi anapambana na binadamu au mzimu inabidi awe anashinda kwenye kazi za kanisa na misikiti. Itamtesa sana hii katika maisha yake hapa duniani.
Hivi kwanini Magufuli huwa anamuogopa kumtaja au kumuongelea Tundu Lisu kwa jina lake?
Mara nyingi huwa anajiuma uma tu
 
Hapa alikuwa ana clear ile kauli ya kugeuza madrasa kuwa Sunday schools psychologically?....wajuzi tujuzeni.
 
Kadhi Mkuu 1 wa kanisa la ufufuo na uzima unateseka kuji-camauflage kwenye Uislam wakati wewe ni alwatan mla kitimoto mzuri tu tunakujua. Waislam wa wapi uliona wanalalamika kutaka makao makuu ya Bakwata?
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 🤣 naona Gwajima amewakera sana baada ya kujiunga na Ccm na kupitisha kugombea ubunge.
 
Teh teh teh 🤣 🤣🤣 🤣 naona Gwajima amewakera sana baada ya kujiunga na Ccm na kupitisha kugombea ubunge.
Mcheza picha za ngono atamkera nani? We cheza picha ya ngono kama gwajima urushie humu JF uone kama utamkera mtu.
 
Kwahiyo mhe rais asisali?. Magufuli ni mchamungu sana na anazipenda dini zote.
Mungu hadhihakiwi,

Lissu alimiminiwa risasi hapo Dodoma, ubunge kuvuliwa,matibabu hajalipiwa japo ilikuwa stahiki zake.
Mungu safari hii anahitaji roho zenu.
 
Masheikh mumwambie Mh Rais ukweli kuhusu hili suala.la kupokea huu mchango wa kanisa kwa kujengea msikiti. Ikiwa mutapokea hizi fedha jee aiku akija kwenye makongamano yenu, akochangisha ujenzi wa kanisa mutachangia? Ni suala la wazi kuwa waislamu wanaamini kuwa ibada ya kanisani ni kufuru na kwa maana hiyo ni haramu na sheria ya waislamu hairuhusu kupokea ama kuchangia kitu kinachotokana na kupelekea kufuru.

Je, masheikh munakanusha kuwa Waislamu wamekatazwa hata kula mnyama aliyechinjwa na Mkristo? Je, masheikh mutakanusha kuwa waislamu wamekatazwa kushirikiana na wakristo katika baadhi ya mambo yakiwemo ya ibada?

Kwa ufupi Uislamu hau encourage ubaguzi na ni dini yenye tolerance ikifatwa according to the book lakini inasisitiza sana to keep distance na kutoingiliana kwenye mambo ya ibada kwa vile kila mtu atahukumiwa kutokana na matendo yake mwenyewe.

Kwa matukio kama haya ndio Mtume Muhammad akashushiwa aya "Nyinyi muna dini yenu na sisi tuna dini yetu" Haya mambo ya kuingiliana kwenye ibada yatasababisha msuguano zaidi ya muungano. Jirani anabakia kuwa jirani mwema lakini atakapoanza kukuletea chakula nyumbani kwa mama watoto upike kwa kukuhisi huna uwezo hapo utaona ni dharau na ndio uadui utakapoanza.

Ahsante sana Mheshimiwa Rais kwa nia njema lakini masheikh musiwache kueleza ukweli kuhusu hili.
 
Back
Top Bottom