Jana mwenyekiti wao kawapa za ukweli hao hao kwamba ikiwa ndani wanwafanyia figisu wanahama wakienda huko wanawashinda,wakirudi tena wananuna.Kawaambia anatamani wawashinde ikiwezekana waingie na NEC nikamuona jamaa kawa mpole yule wa Songwe.Ni unafiki tuu ndio unawasumbua mwanacham mpya na wazamani wote wana haki sawa