Uchaguzi 2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

Hata Lowasa alipopewa nafasi ya kugombea Urais kuna mabavicha walisusa kabisa, Dr. Slaa mwenyewe akajiuzulu sasa ni Balozi huko. Binadamu wana mioyo ya nyama hivyo inaeleweka katika kundi la watu sio wote wataofurahia maamuzi flani , ingawa nayo inataka moyo kuweka wazi baadhi ya mambo. Na kuelezana fikra ni utamaduni mzuri kuliko kuishi huku mtu akiwa na kinyongo.
Majibu haya ni sahihi na hii ipo hadi kwenye biblia, habari ya mwana mpotevu aliporejea nyumbani..wazazi walifurahi na kufanya karamu lkn kaka mtu alinuna.
 
Je kwa mtazamo wako wewe huyo kijana alifanya kosa gani kikatiba?

Je hiyo ndiyo demokrasia wanayo ihibiri wana ccm kuwa ipo ya kutosha ndani ya chama chao kuliko pahala pengine?
Yule Kijana alieuliza lile swali kaisha.

Ccm Mkoa wa Songwe wamekana kumtuma kuuliza hilo swali na atawajibika kwa kuwalisha maneno.

U NEC atauskia kwny kipindi cha Majira kuanzia 2022
 
Mbunge au Diwani wa Upinzani akiunga juhudi TUNAMSHANGILIA, Akiteuliwa au kupewa Cheo ROHO ZINATUUMA hii imekaaje wanachama wenzangu?
Tatizo chama kina watu wengi wenye uchu wa madaraka bila hata kujipima juu ya uwezo wao kiuongozi ndo maana wanona kama nafasi zinawastahili wao tu.
 
Lowasa yupi huyo? Au unamsema Lowasa mliyekuwa mnamtukana matusi ya ajabu kisa kahamia cdm?

Leo hii yupo ccm kwenu mnamramba viatu maana hamna cha kumfanya kwani mwenye chama chake kaamua kuwakomoeni na kuwalazimisha mle matapishi yenu.

Wape salaam kina Msukuma, pole pole na wewe na kikundi chako cha kuwatukana watu na kuwakashifu kisa itikadi za kisiasa.
Hata Lowasa alipopewa nafasi ya kugombea Urais kuna mabavicha walisusa kabisa, Dr. Slaa mwenyewe akajiuzulu sasa ni Balozi huko. Binadamu wana mioyo ya nyama hivyo inaeleweka katika kundi la watu sio wote wataofurahia maamuzi flani , ingawa nayo inataka moyo kuweka wazi baadhi ya mambo. Na kuelezana fikra ni utamaduni mzuri kuliko kuishi huku mtu akiwa na kinyongo.
 
Lowasa yupi huyo? Au unamsema Lowasa mliyekuwa mnamtukana matusi ya ajabu kisa kahamia cdm?

Leo hii yupo ccm kwenu mnamramba viatu maana hamna cha kumfanya kwani mwenye chama chake kaamua kuwakomoeni na kuwalazimisha mle matapishi yenu.

Wape salaam kina Msukuma, pole pole na wewe na kikundi chako cha kuwatukana watu na kuwakashifu kisa itikadi za kisiasa.
Duh, kisu kimegonga mfupa pole sana kamanda.
 
Hata Lowasa alipopewa nafasi ya kugombea Urais kuna mabavicha walisusa kabisa, Dr. Slaa mwenyewe akajiuzulu sasa ni Balozi huko. Binadamu wana mioyo ya nyama hivyo inaeleweka katika kundi la watu sio wote wataofurahia maamuzi flani , ingawa nayo inataka moyo kuweka wazi baadhi ya mambo. Na kuelezana fikra ni utamaduni mzuri kuliko kuishi huku mtu akiwa na kinyongo.
Kwa mbali naziona akili
 
Kwa Hilo jibu la mwenyekiti sidhani Kama wahafidhina wa CCM wamekubaliana nae Ni wazi kwamba hawathaminiki

Hawa watu wanaweza endesha vuguvugu la chini kwa chini huko wilayani na mkoani

So wale CCM maslahi toka upinzani mjiandae aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mwenyekiti kawaambia wahafidhina wapignane vita huko wilaya waanze kuwakatilia huko yeye Ni final mchinjanji tu msimlaumu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom