mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Hii PEPKON itakua inapatikana North Korea nadhani.Umeongea kama Mimi mkuu, sjiu kama upojirani na soft drinks, agizia soda na pepkon bili nitumie mkuu
Tanzania ni ya wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii PEPKON itakua inapatikana North Korea nadhani.Umeongea kama Mimi mkuu, sjiu kama upojirani na soft drinks, agizia soda na pepkon bili nitumie mkuu
Tanzania ni ya wote
Wenyeji kwisha habari yao...
Et mke wako akikuomba msamaha hao akina silinde lijuakali and co n wanawake...mfano wa usio wa lazima.Mifano yake hua ni ya dizaini hio hio(Wanawake),inawezekana ndio kitu wana CCM hua wanaelewa zaidi.
2010 kilikua na mkutano sehemu wa Ccm mbunge akinadiwa, wakina mama/wabibi wakawa wamevaa Kanga na viremba vya Ccm wanatoka mkutanoni wakawa wanazomewa na wananchi balaa wakina mama wale kila mmojawao akatoa Elfu 10 kwny pochi/pindo za kanga/kwny nyonyo then wakawaonyesha waliokua wanawazomea wakawaambia kule tumefata hizi(hizo elfu 10) lkn kwny kura tunawapigia hapa wakawa wanaweka alama ya vidole viwili(Chadema) nilistaajabu sana.Wenyeji watahamia upinzani kwa maana ya "Mwaga mboga mie namwaga ugali"
'Siyo ajabu akaja na mapenzi mazuri mazuri kuliko ya zamani amejifunza huko mbinu nyingi na mbadala'Et mke wako akikuomba msamaha hao akina silinde lijuakali and co n wanawake...mfano wa usio wa lazima.
hata ngazi za chini zikiwatosa, bado ngaz za juu watawaweka, akina Silinde wanajitapa kwamba hata ngaz za chini wasipompitisha, d ngazi za juu zitampitisha, hapo ndio kiini cha mgogoroNgazi za chini za CCM zitawatosa wasio na sifa zinazoendana na chama maana kuna hazina kubwa ya wagombea wenye nguvu. CCM haisubiri waliotemwa na vyama vingine labda wale tu waliohamia kwa hiari na wana sifa.
Sisi ambao huwa hatutaki kurudiana ex tunamsemo tumpime kwanza je akirudi na magonjwa....na zaidi ex Is just like a toilet paper you can't using twice..'Siyo ajabu akaja na mapenzi mazuri mazuri kuliko ya zamani amejifunza huko mbinu nyingi na mbadala'
Mbinu mbadala hapo sijui zinakua ni za aje kwny mapenzi.
Controversial.
Ebu twambie ulichokielewaMleta mada kafafanua kaongezea nyama na kaeleweka na nimemwelewa wewe kaa na wehu wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] magufuri ameshakuwa mtu wa pwani..lkn inasikitisha sana'Siyo ajabu akaja na mapenzi mazuri mazuri kuliko ya zamani amejifunza huko mbinu nyingi na mbadala'
Mbinu mbadala hapo sijui zinakua ni za aje kwny mapenzi.
Controversial.
Hahah nimetafakari kidogo ile kauli then ikataka kunifanya niwaze kidogo ila nikakemea sana mkuu.,hahah.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] magufuri ameshakuwa mtu wa pwani..lkn inasikitisha sana
Wao hawajapinga mpaka Sasa wewe Ni nani?Moderator hii kitu ni ya kufuta na kumpa onyo mchapishaji, mna-condone habari za uzushi. Asipokemewa, kesho atazusha jambo kuhusu JamiiForums kwenye mtandao mwingine kwasababu anaona ni rahisi. Watanzania hatujajua madhara ya kusambaza taarifa feki bado.
CCM ina wenyewe ambao ndio hao wa ngazi ya juu,kwani ulipoambiwa ITATEGEMEA NIMEAMKAJE ulidhani kauli hio imetolewa na mtu wa ngazi ya kata sio?hata ngazi za chini zikiwatosa, bado ngaz za juu watawaweka, akina Silinde wanajitapa kwamba hata ngaz za chini wasipompitisha, d ngazi za juu zitampitisha, hapo ndio kiini cha mgogoro
Hii Mbaya sana
Kumbe wewe mtoto bado unasubiri hela za wazaziSina njaa nimezaliwa ndani ya mfumo mpaka sasa napiga hela za ndani ya mfumo.na wazazi wangu wakistaafu wanalipwa hela za ndani tena mapema sana.
Ukimsikiliza Magufuli hadharani ,unapata shida sana ajayoyafanya kifichoni na yaliyojazwa kwenye nafsi yakeKashasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia jinsi alivyoamka siku hiyo.
Yani si kuangalia katiba, si miongozo, si taratibu, si tamaduni, bali kuangalia anavyojisikia alivyoamka siku hiyo.
Kwny mihimili 3 pale alishasema kuna mhimili 1 umejichimbia zaidi kuliko mwenzake,since then nilimuelewa 'vzr' na nikajua muelekeo wa serikali yake utakuaje.Ukimsikiliza Magufuli hadharani ,unapata shida sana ajayoyafanya kifichoni na yaliyojazwa kwenye nafsi yake
Huyu jamaa vocabraries kama democracy ,rule of law,separation of power ,human rights,political tolerance in his head don't exist
Masikitiko yangu hadi watu wake wa karibu ni nyumbu