Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
wanajitoa akili na ufahamu kana kwamba hawalijui hilo!!Kashasema atamkata mtia nia yeyote kwa kuangalia jinsi alivyoamka siku hiyo.
Yani si kuangalia katiba, si miongozo, si taratibu, si tamaduni, bali kuangalia anavyojisikia alivyoamka siku hiyo.