YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kwani hapa hospital tunaangalia Nani anaweweseka? Ha ha haKwa majibu yako haya nani anaonekana kuweweseka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hapa hospital tunaangalia Nani anaweweseka? Ha ha haKwa majibu yako haya nani anaonekana kuweweseka?
CCM imeandikwa ccm.it is too good to be true
Sugu akiunga mkono juhudi inakanushwa muda huo huoHii itakanushwa
Mkuu huo ndo ukweli wenyewe, si ndo ccm mupyaaa acha waisome namba...na ni faida kwetu wapinzaniMbona nashindwa kuamini!!
Sio fake ni kweli sema imevuja tuCCM imekua ikifanya maamuzi mengi sana ya hovyo lakini kwa hili nadhani itakua fake news.
Nami naona hivyo. Hii ni dalili mbaya kwa wapinzani na wanademokrasia. Wapinzani hawatapita.Inamaana hiyo ni hatua ya awali, kitakachofuata ni kuhakikisha mpinzani hapiti.
Ingekua sio hivyo wangewaacha hao wagombea wapambane na wenzao kwa uwezo wao.
Ndiyo , alaf ninyi viherehere mtaendelea kubwabwaja tuKwahiyo wakina Waitara,Mtolea,Mwembe,Lijuakali n.k wanaserereka kama mlima kitonga.
Kwa hiyo chama kimetafakari kuhusu athari za uamuzi huu?Sio fake ni kweli sema imevuja tu
Hiyo kwao sio mjadala...ccm mbele kwa mbele mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo chama kimetafakari kuhusu athari za uamuzi huu?
Kuwapa vyeo wapinzania liko ndani ya uwezo wake kimamlaka na kikatiba. Ila kumpitisha mgombea ubunge na udiwani ngazi ya wilaya na mkoa liko nje ya mamlaka yake kwa hizo ngazi.Magufuli hajajibu swali. Amekwepa swali.
Kwa sababu, hakutakiwa kulisukuma hilo swali vikao vya chini wakati hata yeye kapokea wapinzani na kuwapa vyeo vikubwa vya ukatibu muu na unaibu waziri wizarani.
Hakujibu swali.
Kalikwepa tu.
Kikwete anatakiwa aoneshe makali yake sasaKwa hiyo chama kimetafakari kuhusu athari za uamuzi huu?
Mbaya kwenu ninyi wafia ccm maana mnalima wee wanakula wengine huku ninyi mkibaki mnapiga miayooNami naona hivyo. Hii ni dalili mbaya kwa wapinzani na wanademokrasia. Wapinzani hawatapita.
Ndio wajue Magu hafai kabisa!!Mkuu huo ndo ukweli wenyewe, si ndo ccm mupyaaa acha waisome namba...na ni faida kwetu wapinzani
Hawezi kumpinga M'kiti Taifa..kwn hajipendi??Kikwete anatakiwa aoneshe makali yake sasa
Thubutu, ajaribu aone yatakayo mkuta. Jamaa naona wanapindua kabisa sera/tamaduni za chama chao.Kikwete anatakiwa aoneshe makali yake sasa