Uchaguzi 2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

Hata kama nikiwa ccm damudamu siwezi mchagua mtu aliyehamia kwetu kwa kuliingiza taifa hasara na kurudia uchaguzi
 
Magufuli anavyofanya si sawa, Silinde hakuchaguliwa na wananchi kwa sababu anapendwa, bali alichaguliwa kwa sababu alikuwa CHADEMA. inatakiwa apambane kupata nafasi ya kugombea sio kupitishwa kihuni huni
Naona mnaanza kupata akili taratibu. Taratibu tutaelewana
 
Chama ni mali binafsi ya Mwenyekiti hakuna namna

Kimsingi JPM anaheshimu wafuasi wake binafsi na sio wafuasi wa chama ...ndio maana hataki wafuasi wake waliomfuata toka upinzani wabugudhiwe ....mwisho wa siku chama kitakua mtandao wake utakaokuwa na nguvu kuliko waliokuwa na chama miaka yote .....
Leo hii kuanzia sekretariat wenye nguvu ni wageni .....muuliza swali kashushuliwa kwa kuwa hakuujuwa huo ukweli ..na pengine watamshughulikia ndio maana Katibu Mkuu Bashiru alichukua microphone akasema ...." ndugu wajumbe mkutano uko live hivyo mtafakari cha kuongea ..."
 
Kwa hiyo waliopo chamani wazuiwe kugombea au kutia nia kwa sababu aliyekuwa mpinzani alikuwa anashikilia jimbo hilo.

Sio kwamba wanatakiwa waweke uwanja sawa.
Hakuna alowazuia.Kama aliehamia CCM akishinda kura za maoni kuna ubaya gani hapo?Kama kashinda inamaanisha yeye kaonwa anafaa kuliko wengine haijalishi kaja CCM jana au juzi.
 
Chama Cha Mafedhuli -CCM. Yaani kupitia kifupi CCM unapita maana nyingi hasi. Chama cha Matapeli, Chama cha Majambazi, Chama cha Mateso, & the list is endless.
 
Binafsi naona ujumbe huu wa CCM ni mzuri sana, kama mtu alikuwa mbunge wa upinzani, mkakubaliana ahame chama chao na kujiunga CCM, lile jimbo ni bora muache huyo huyo aliyehamia CCM agombee, sbb hilo jimbo halikuwa la CCM bali upinzani, huyo Mbunge apewe kipao mbele aendelee kugombea jimbo hilo hilo. CCM kama mlikuwepo miaka yote mlishindwaje hadi jimbo likaenda upinzani? Huyo mbunge wa upinzani akihamia CCM aendelee kugombea bila kupingwa.
Yes! Hii ndio ccm mpya ya kuwanunua wagombea kutoka upinzani then kuwapachika ubunge
 
Hahahah ccm mmepata mwenyekiti sie tusio na vyama huku tunacheeeekaaaaa
 
Back
Top Bottom