Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Hata kama nikiwa ccm damudamu siwezi mchagua mtu aliyehamia kwetu kwa kuliingiza taifa hasara na kurudia uchaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii itakuwa sio nyaraka ya kweli!! NAIKATAAView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Naona mnaanza kupata akili taratibu. Taratibu tutaelewanaMagufuli anavyofanya si sawa, Silinde hakuchaguliwa na wananchi kwa sababu anapendwa, bali alichaguliwa kwa sababu alikuwa CHADEMA. inatakiwa apambane kupata nafasi ya kugombea sio kupitishwa kihuni huni
Chama ni mali binafsi ya Mwenyekiti hakuna namna
Hakuna alowazuia.Kama aliehamia CCM akishinda kura za maoni kuna ubaya gani hapo?Kama kashinda inamaanisha yeye kaonwa anafaa kuliko wengine haijalishi kaja CCM jana au juzi.Kwa hiyo waliopo chamani wazuiwe kugombea au kutia nia kwa sababu aliyekuwa mpinzani alikuwa anashikilia jimbo hilo.
Sio kwamba wanatakiwa waweke uwanja sawa.
Huu sio msimamo wa polepole ni msimamo wa chamaView attachment 1502731
Nashauri Pole Pole azungumze Ni kwa Sheria gani, vinginevyo awajibike
Fake amesaini yeyeAzungumzie hii fake??
Ccm mpyaLitawaumiza Sana wafia chama. Mmepambana miaka mitano mnagombana na mbunge kama wa songwe Leo ameunga mkono juhudi mnaambiwa kugombea Ni marufuku na mtafukuzwa chama. Ndugu pole pole Chama gani hiki?
Ndio maana upo busy kutetea mfumo eeh!Sina njaa nimezaliwa ndani ya mfumo mpaka sasa napiga hela za ndani ya mfumo.na wazazi wangu wakistaafu wanalipwa hela za ndani tena mapema sana.
Mkuu ni mfumo wa kusambaza maji vijijini.nadhani umenielewa.yani nachimba visima.Ndio maana upo busy kutetea mfumo eeh!
Yes! Hii ndio ccm mpya ya kuwanunua wagombea kutoka upinzani then kuwapachika ubungeBinafsi naona ujumbe huu wa CCM ni mzuri sana, kama mtu alikuwa mbunge wa upinzani, mkakubaliana ahame chama chao na kujiunga CCM, lile jimbo ni bora muache huyo huyo aliyehamia CCM agombee, sbb hilo jimbo halikuwa la CCM bali upinzani, huyo Mbunge apewe kipao mbele aendelee kugombea jimbo hilo hilo. CCM kama mlikuwepo miaka yote mlishindwaje hadi jimbo likaenda upinzani? Huyo mbunge wa upinzani akihamia CCM aendelee kugombea bila kupingwa.
Sawa endelea kufaidi keki ya taifaMkuu ni mfumo wa kusambaza maji vijijini.nadhani umenielewa.yani nachimba visima.