Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Harafu ujiko atachunua Nani?any way nasikitika Kama Kuna watu bado Wana Imani na maguNilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.
Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..
Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..
Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...
Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...
Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
unashadadia ushoga !! wewe ni shoga??USA wakiwekeza mradi mkubwa hivyo tujue maamuzi mengine ya nchi watupangia. Sharti la ushoga hatutaliepuka.
Tujiridhishe kwa nini wachague eneo hilo? Mahusiano yetu na USA lazima tuyachukulie kwa tahadhari kubwa sana. Mali wameshaumizwa tayari. Angalia wanavyo mshadadia Lissu. Walimchagua Nyalandu kipindi cha nyuma kuwa ndiye wanamtaka awe rais.
Wazo lake ni zuri na nafikiri alilliwakilisha sehemu husika ,assume Masele ni marehemu ,je ingekuaje ?,kama anaipenda nchi yake na ni mzalendo wa kweli akabidhi mpango kazi serikaliniNilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.
Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..
Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..
Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...
Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...
Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Ebu fafanua namna huo mradi utakavyowanufaisha watanzania, wakati wa maandalizi ya utekelezaji wake, utekelezaji wenyewe, na undelezaji wake. Tumia takwimu kuimarisha ufafanuzi kwa kila hatua niliyoeleza.
Karibu.
Honestly hata Mimi nilishngaa
But hata kama sio Simiyu basi popote wachague..Arusha au selous..au Dar popote
Idea hii tukiweza tutakua mbali sana..
Naona South Africa Wana advantage juu yetu
Nilishangaa kusikia Dubai wali shindwana na Disneyland..
unashadadia ushoga !! wewe ni shoga??
Hapa tunaongelea BUSEGA YETU mijitu mingine sihasa tuuuu
Mkuu $10b au ulisikia/kusoma vibaya? Nadhani hatujawahi kuwa na mradi wa pesa hizo hapa nchini, labda bandari ya bagamoyo kama ingefanikiwa. Na ilikuwa iwe mradi wa nini? Nahisi zilikuwa story za kitapeli. Mradi wa pesa kama hiyo hapa kwetu unaweza kutekelezwa tu iwapo mwenye hilo wazo ni rais.
Huyo mkuu @earhtmover anaujua vizuri
Upo wizarani mkuu
Au pitia IPP media uone wameandika mradi WA TSH trillion 6...
So huu mradi upo kabisa RC Mtaka anaujua..
So swala hapa wala sio porojo..umekwama wizarani
.
Asante nimeipata habari yenyewe. Ila majibu ya maswali yangu sikuyapata yote. Pia kwenye taarifa hiyo sijaona jina la ndugu Masele. Limo jina la Mtaka, mkuu wa mkoa wa Simiyu.Mkuu
Please Google Africa pioneer theme park..
Ipo Ipp media.
Wazo la Masele ni la kijinga sana Magufuli hana muda wa mwekezaji kuja kuwekeza mabembea
Watanzania wanatakiwa wachape kazi kama kauli mbiu inavyosema
Sio mimi ni Raisi wako yesu kula bata anasema ni upigajiUbaya ni kuamini kuwa entertainment sio kazi.
Inaigiza fedha za wali maharage ili wale mashekhe walioko gerezani wasife na njaa ili waendelee kulawitiwaUnajua film festival ya Zanzibar huleta fedha kiasi gani??
Na bado atanyoosha watu tuwe tu wapole🤦🏼♀️Magufuli ana roho ya uharibifu!! Miaka 5 nchi ilisimama.