Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Maendeleo ha
Muongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
NDUMILA KUWILI!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo ha
Muongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
Mwenyewe alisema khs suala la kuwakata watu ITATEGEMEA NIMEAMKAJE siku hio.Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?
Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?
Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.
Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Mimi naona ni dharau tu hakuna kitu kingine.Magufuli sio muongo. Anachokifanya ni kujiona yeye ana akili nyingi kuliko watu wote na anaweza kuwaambia kitu chochote wakati wowote na watu wakamuamini na kumshangilia.
Anachofanya hiki ni zaidi ya uongo na wala sio usahaurifu. Huu ni ugonjwa
Hivi nani zaidi kwa uongo, mgombea urais wa CCM au Rais aliye madarakani?Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Eti pole tz! Pole wewe tz iache hivi hivi.Mwenye macho haambiwi ona...pole Tanzania
Kufundishwa kupiga ni ujinga?Mimi naona ni dharau tu hakuna kitu kingine.
Halafu watu tunapiga kura miaka yote leo anatufundisha namna ya kupiga kura sidhani kama nj mzima huyu.
Unaijua nguvu ya Mwenyekiti wa CCM lakini?Bwashee3 naomba unisaidie
Mbona bwana mkubwa amekua anasema mara kwa mara kwamba amewakata watu
Hivi ilikua inapitisha kamati kuu au alikua anapitisha yeye? Mpaka akamkata hata mtoto wake(dada yake) Furaha
Jpm, sasa una chemka. Historia haidanganyi.Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Kwa hulka yake, hakupaswa kuwa rais. Na kwa bahati mbaya hakuwahi kuwa na ndoto ya urais hadi pale Jakaya alipolikoroga na hivyo huyu akasukumizwa. Kwa hivyo aliingia kwa nafasi hiyo bila kuwa hata na chembe ya vision. Ndio maana tumeshuhudia vituko lakini vituko ambavyo vinamtesa na kumyanyasa mwananchi wa kawaida.Kama Mrisho Gambo atanyimwa kura na watu wa Arusha anapaswa kumlaumu Magufuli.
Kama kuna mtu anadhani Magufuli amemfanyia kampeni Gambo ukweli ni kwamba amemuharibia na wananchi wataamini hawa wote wawili ni waongo na matapeli watupu.
Lema anakwenda kuwamaliza na clip za nyuma halafu atawawekea hii ya leo, kura zitakapopigwa mtakumbuka maandishi yangu.
Huyu mzee sijui ana matatizo gani huwa sielewi kabisa.
😄😄😄😄😄Unaijua nguvu ya Mwenyekiti wa CCM lakini?
Kama huijui kamuulize Lowassa ilikuwaje 2015!