sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Duuuh kwel mzee baba kazoea kufanganya aiseeMuongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh kwel mzee baba kazoea kufanganya aiseeMuongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
Hua anajitanabaisha kwa kusema , msema kwel ni mpezi Wa mungu, sasa mbona anaongea uongo wazi wazi.Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Mbogamboga fc sijawaona wakitia timu hapa.Aisee hili lizee liongo Sana....aisee amewafanya ccm washindwe hata kuchangia kwenye huu uzi
🤣 🤣 🤣 huwa anameza tuMzee kameza maneno yake.
Mkuu we unashauri Nini kifanyike ili vyama vya upinzani viweze kuishinda CCM pamoja na vikwazo vingi vilivyopo?Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?
Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?
Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.
Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Daah technology hua haidanganyi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] Memory less than 1kb
Tatizo lako ni mgumu kuelewa!Aisee hili lizee liongo Sana....aisee amewafanya ccm washindwe hata kuchangia kwenye huu uzi
😂😂😂 Memory less than 1kb
Rais Magufuli amesema kuna watu wanadai anamchukia Mrisho Gambo na kwamba alimfukuza kazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hiyo siyo kweli.
Gambo alinifata akaniomba agombee ubunge ili aiokoe Arusha ambayo inaonekana kukwama, amesema Dr Magufuli.
Ningekuwa namchukia ningempitisha kugombea ubunge? ameuliza.
Nileteeni Mrisho Gambo kwa ajili ya maendeleo ya Arusha amesisitiza Dkt. Magufuli.
Maendeleo hayana vyama!
Wala siyo msahaulifu, ni Mjinga tusipindishepindishe manenoMuongo sana huyu mzee halafu msahaulifu.View attachment 1609479View attachment 1609480
Kwa hiyo huyu kumbukumbu hamna?ukiwa muongo uwe na kumbukumbu