Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Hiii Pombe lazima imwagwe kwa kweli. Hivi kwa nini anadanganya hivi? Anamwabudu nani huyu? Anasali wapi huyu? Kwanini tunapita haya?
 
Kubenea kaiokoa ubungo, kaweka hadi fly over
 
Kichwa ya huyu mzee huwa inapata moto yaani kasahau alivyomuabisha Gambo?. kuwa wamekalia kugombana tu. Yoote anayoahidi ni uongo tena akikwapua ushindi hii miaka mitano tutashuhudia mauaji ya kutisha tena ya hadharani.
 
Kwa hiyo Magufuli ndiye mjumbe mkuu wa kupitisha na kukata watu?

Na kama kumpitisha mtu ni kutomchukia, kutompitisha ni kumchukia?

Maana katika kujibu swali hili kazua swali jingine.

Wale ambao hajawapitisha kama kina Bashite na Adadi Rajabu, tena kwa Adadi Rajabu alikuwa incumbent, hao anawachukia?
Mkuu we unashauri Nini kifanyike ili vyama vya upinzani viweze kuishinda CCM pamoja na vikwazo vingi vilivyopo?
 
Mwenye anakajua vizuri kale ka wimbo cha "cha uongo mpe chai ya bakuli anywe" naomba anikumbushe mistali yake.
 
na mbogamboga watamshangilia

kwa nini asiwe kiwanda cha uongo.?

mmmh...tumuombee akabidhi salama
 
Rais Magufuli amesema kuna watu wanadai anamchukia Mrisho Gambo na kwamba alimfukuza kazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hiyo siyo kweli.

Gambo alinifata akaniomba agombee ubunge ili aiokoe Arusha ambayo inaonekana kukwama, amesema Dr Magufuli.
Ningekuwa namchukia ningempitisha kugombea ubunge? ameuliza.

Nileteeni Mrisho Gambo kwa ajili ya maendeleo ya Arusha amesisitiza Dkt. Magufuli.




Maendeleo hayana vyama!

Huyu mtu ana matatizo ya akili, siyo mzima
 
Back
Top Bottom