Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Magufuli sio muongo. Anachokifanya ni kujiona yeye ana akili nyingi kuliko watu wote na anaweza kuwaambia kitu chochote wakati wowote na watu wakamuamini na kumshangilia.

Anachofanya hiki ni zaidi ya uongo na wala sio usahaurifu. Huu ni ugonjwa
Uko sahihi. Huu si uongo tu. Hii ni qina fulani ya narcissism inayomfanya ajione anaweza kuhadaa watu nchi nzima.

Lakini pia, Kitu kinaweza kuwa zaidi ya uongo, lakini kikawa ni uongo pia.

Kwa mfano, Magufuli ni zaidi ya raia tu wa Tanzania. Ni rais wa Tanzania.

Lakini yeye kuwa rais wa Tanzania hakuondoi ukweli kwamba ni raia wa Tanzania.
 
Siasa mchezo mchafu!!! Kila nikiwaambia hii kitu mnasema sio kweli! Haya sasa twende kazi pamoja.
 
Hili li ubongo likoje. Si alisema yeye mwenyewe amemfukuza kwa vile wanatunishiana misuli na DC
Ugonjwa wa malukanga umechachamaa vibaya bila air conditioner mtu anaweza kufa , sasa kumbukumbu ndio itakuwepo ?
 

Attachments

  • Screenshot_20201021-204447.png
    21 KB · Views: 1
Nafikiri mwenye kutoa ufafanuzi ni yeye mwenyewe. Anajua alimanisha nn mwanzoni.
 
Eti pole tz! Pole wewe tz iache hivi hivi.

Kwa akili yako ulifikiri kinx Gambo wamefukuzwa?

Ndio maana tukiwaambia acheni kushobokoea mambo yanayotokea ccm hamsikii. Matokeo yake kama hivi kina Membe wanawachezesha kwata.
Hayo siyo mambo ya CCM,huyo Gambo alikuwa mtumishi wa kuhudumia umma na sio CCM!Akatumbuliwa na sababu zikawekwa wazi na Rais,wakati huu wa kuomba kura mtu huyo huyo anakana yale aliyosema awali!Halafu mnataka wananchi tusihoji ukweli?Eti ni mambo ya CCM?Una akili kweli?Tatizo lenu akili zenu mmekabidhi wengine,mmebaki mabox matupu,mnapelekwa na kwenda kama misukule tu!Shame
 
Aisee amewafanya ccm washindwe hata kuchangia kwenye huu uzi
 
Kuweka kumbukumbu sawa, siku anafukuzwa Gambo,alifukuzwa DC wa Arusha, na kuwahamisha DED wa Arusha,takukuru mkoa wa Arusha, RPC sahana wa Arusha, tiss Arusha.

Mzee ameongea uongo. Gambo alifukuzwa.
Tuna Rais muongo kuliko Uongo wenyewe. Kichwani ni zero kabisa. Sasa anafikiri watu wote wana ubongo kama wake. Aache kutufananisha na wale Vilaza wake Polepole na yule Murundi mwenziye.
 
Mzee mzima unasimama jukwaani lisaa lizima unahutubia watu huku unawaona kama misukule. Uongo mpaka anakera! Hovyo kabisa.
 
Namba 4 ndo ulikua uongo uliotukuka.
 
Yaani meko anadhani hiyo kauli ndio itampa kura Gambo! Lema ameshapiga spana za kutosha maana kwenye mikutano Lema alikuwa anawasikilizisha wananchi speech ya meko kuhusu sababu za kuwapiga chini Gambo na wenzake.
 
Kashakula matapishi yake yaan uyu jamaa ata MBWA afadhali

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Baba wa familia unatakiwa uwe makini na kauli zako tofauti na hapo hata wanao watakupa 'majina mengi'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…