Uchaguzi 2020 Rais Magufuli: Gambo sikumfukuza Ukuu wa Mkoa bali aliniomba akagombee Ubunge baada ya kuona Arusha inakwama

Ila kucheza na akili ya mpiga kura nguvu kidogo sana, sasa aliyeikwamisha arusha n nani sasa
 
Mwambie Lema.atafite kazi nyingine ubunge asahau!
 
Kwa upuuzi ulioandika unatikiwa ufungwe jiwe kichwani alafu uzamishwe baharini.
 
halafu keshokutwa jumapili utamwona kanisani mstari wa mbele tena na ekaristi takatifu anakomunika kabisa!!! hivi huyu baba huwa walau anaungama hayo mazambi yake ya kusema uongo mchana kweupe au ndo ekaristi anakulaga tu kaa andazi?!!! Rais mzima wa nchi unachapia mauongo kila siku?!!!

isitoshe angemwacha gambo ajaribu tu bahati yake peke yake kuliko kwenda kuwaambia watu eti wamchague sababu kamtuma yeye!! sasa mtu anatumwa na mkuu wa serikali kugombea ubunge ataweza kweli kuisimamia hiyo serikali kwa niaba ya wapiga kura wake au ndo atakuwa ndiyo mzee?!!!! kwanza huyo magu mwenyewe arachuga hatumsomi wala nini afu ndo aje kumwombea mtu kura!! nani ampe? za kwake keshapata kwanza mpaka aje kumwombea mtu?!! huyo gambo hata ccm wa r chuga hawampi kura.
 
..wewe una barua inayothibitisha kwamba hakufukuzwa?

..Raisi si alijitokeza kwenye TV na kutoa lawama kwa Mrisho Gambo, mpaka akamtuhumu kwa mambo ya udini?
Kujitokeza kwenye tv ni kwa mujibu wa sheria?
 
Exquisite..
 
Yes, it is clear kwamba hakumfukuza - Gambo aliomba ili ashiriki uchaguzi wa kura za maoni - wanaAtown tumchague Mrisho Gambo akamsaidie JPM kupaisha nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…