Mkuu kwake corona ni sawa na Chadema kwaJamaa muoga sana.......Kuzungumza na wananchi kuhusu Corona unatumia vyombo vya ulinzi? Amenirudisha kwenye korosho badala ya kutumia principles za uchumi kufanya deals na wafanyabiashara yeye anaita jeshi eti washughulikie uchumi....CHEAP....
Leo suala la afya vyombo vya ulinzi vinalinda nini?
NCHI IMEKOSA UONGOZI
🤣 🤣 🤣 muache Naibu wa watu, kwanza viti maalumu arudi tena wanamkata juu kwa juu.Na wewe Naibu Chadema inafanana na taasisi ya Rais!!
Network inasumbua sana ChatoTokea saa tisa na nusu hadi saa hizi hatujajua anaongea nini...channeli zetu zipo zipo tu...tusipoziangalia wanalalamika
Msigwa na team yake walivyoona kelele mkimtaka kumuona rais ikabidi waje na huu uzushi, kuwa mzee atakuwa live so mmeonjeshwa wamekata makusudi
Yani jamaa akijua hayuko mubashara anaweza kumvunja Msigwa mguu.
Waambie watumie halotel wakileta uzalendo wa kutumia TTCL HAMNA KITU.Network inasumbua sana Chato
Acha chuki zako kwanini unaumia?kwani hataeleweka? Mbona maamuzi Chadema yanafanyikia Tengeru?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui anaongea vitu gani ambavyo hataki tujue, Kama anatuficha sisi wenye nchi basi hatupendi maana ilipaswa Leo atupe mrejesho wa namna ya kusonga mbele.Wewe ndiyo hopeless! Usichokijua ni kwamba tatizo halipo TBC bali ni maelekezo kutoka juu.
Yani jamaa akijua hayuko mubashara anaweza kumvunja Msigwa mguu.