Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Mkuu kwake corona ni sawa na Chadema kwa
 
Msigwa na team yake walivyoona kelele mkimtaka kumuona rais ikabidi waje na huu uzushi, kuwa mzee atakuwa live so mmeonjeshwa wamekata makusudi
 
Tokea saa tisa na nusu hadi saa hizi hatujajua anaongea nini...channeli zetu zipo zipo tu...tusipoziangalia wanalalamika
 
Msigwa na team yake walivyoona kelele mkimtaka kumuona rais ikabidi waje na huu uzushi, kuwa mzee atakuwa live so mmeonjeshwa wamekata makusudi

"Watanzania sio Wajinga". Tuna waona.
 
Wameshtukia kwamba wanaongea vitu vya kiusalama zaidi, itakuwa ni mbinu za kivita dhidi ya corona, inabidi iwe siri. Wasije wakavujisha siri za kivita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…