Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Jamaa muoga sana.......Kuzungumza na wananchi kuhusu Corona unatumia vyombo vya ulinzi? Amenirudisha kwenye korosho badala ya kutumia principles za uchumi kufanya deals na wafanyabiashara yeye anaita jeshi eti washughulikie uchumi....CHEAP....
Leo suala la afya vyombo vya ulinzi vinalinda nini?
NCHI IMEKOSA UONGOZI
This is very low opinion mkuu. Karne ya 21 unauliza anaongozaje nchi akiwa chato? Viongozi wa un wamekutana via vid wengine wakiwa majikoni mwao. Live na mkutano unaenda!Unaongozaje nchi kutokea nyumbani kwako???!!! Really???!! Nchi ya watu milioni 55?! Kweli?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
yani kwa haraka-haraka jamaa ameshatoa maboko ya kutosha, bora akabaki kimya.Hahahhaha.. Chadema wamepanic wanatamani hata ardhi ipasuka waingie ili wasiwe wanasikia jina Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba sahvi hawapikiYani katumia jeshi kufanya uchunguzi juu ya Corona. Naona ameanza chuki na wizara sijui kwakuwa inasema ukweli? Kaongea mambo ya ajabu kweli kweli!
Kwanini Trump anamihela na anavutana na manchi makubwa lkn akiwa kwake husimama kuhutubia bila kusimamiwa nyuma na wanajeshi na mabodigadi??
Na sisi wafayabiadhara tupunguziwe kodiMzee kagomea lockdown..namuona hapa anaiomba bank ya dunia itusamehe madeni by percentage..!
HahaaaaaTunaenda mapumziko kidogo, tutarudi baadae.
Mtume na Nabii TALNilidhani mimi nimepotea kumbe na mwenzangu umeiona!
π π π π πTunaenda mapumziko kidogo, tutarudi baadae.
Wameanzia nyuma kidogo, hii itakuwa part two ππππAmerudi