[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Stupidity is still common in Tanzania.
Mtu anatoka kule ameshiba utumbo wa bata anaandika mambo ya hovyo hovyo na ajabu unakuta ni mzazi ana watoto wanamtegemea kujifunza kutoka kwake.
Hizi nchi zetu kuendelea bado sana kwa sababu ujinga bado ni tatizo kubwa kiliko hata magonjwa.
Kwaiyo Taarifa ya ummy ya kesho itakua waliopona 123 wagonjwa 285 yani kutufanya sie kama wanae mzee huyu.Wakati hayo mamia yameanza kutangazwa juzi tu. We toka chatto bwana uje tupambane usituchoshe hapa.Ummy angekua bold enougu angejiuzulu lin ndio hvo tena atakula wapi mana pale ni kama amewatusi kina ummy
Pale ndio Tanzania lakini sio ofisi ya umma? Yani mtu yupo kwake wewe unasema UjingaKuna athari kubwa sana kwa mtu akijijengea fikira ya kupinga kila kitu,hebu fikiria kidogo makao makuu ya umoja wa mataifa yako Marekani,unataka kuniambia katibu mkuu wa umoja wa mataifa akitaka kutoa hotuba hadi aende Marekani,hawezi kuwa Tanzania na bado akahutubia mataifa yote?
Chato ni Tanzania,tupunguzeni manunguniko yasiyo tija
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba miaka yote hiyo ya kuwa mbunge na Waziri hana other sources of income?Basi nchi yetu itakuwa na bahati mbayaKwaiyo Taarifa ya ummy ya kesho itakua waliopona 123 wagonjwa 285 yani kutufanya sie kama wanae mzee huyu.Wakati hayo mamia yameanza kutangazwa juzi tu. We toka chatto bwana uje tupambane usituchoshe hapa.Ummy angekua bold enougu angejiuzulu lin ndio hvo tena atakula wapi mana pale ni kama amewatusi kina ummy
Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta yaani.Bottomline ya Rais ni kuwa let nature take its course. Natural selection take its course, survival for the fittest! atakayebaki basi anatosha mimi kutawala! Vinginevyo huwezi kusema maneno kama hayo!
Na kweli tutapukutika vilivyo in the world history! Kinachoonekana kuzisaidia Europe na USA ni kockdown. South Amrica walifanya kama Jiwe, maiti zinaokotwa barabarani!.. Equador Pascal Mayalla au unasemaje rafiki
Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Stupidity is still common in Tanzania.
Mtu anatoka kule ameshiba utumbo wa bata anaandika mambo ya hovyo hovyo na ajabu unakuta ni mzazi ana watoto wanamtegemea kujifunza kutoka kwake.
Hizi nchi zetu kuendelea bado sana kwa sababu ujinga bado ni tatizo kubwa kiliko hata magonjwa.
Hapana we andika tu! Kama hakuna stricy measures, tunakwenda huko