Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Wewe ndio unatatizo,bahati mzuri tumepata rais isiyependa blah blah, nyeupe iitwe nyeupe kadhalika nyekundu

Sasa kama mlizoea siasa kila kitu kwa JPM mtaugua presha, hotuba ilikuwa mzuri na nimeipenda sana
Huyu mzee ni kiongozi mbovu, wa hovyo. Kwa alichoongea leo ni kwamba ana tatizo kubwa kuliko tunavyomdhania. Mungu tusaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
By G Malisa:
"Hakuna virusi wanaokufa kwa fumigation. Kilichofanyika Dar es Salaam kupuliza dawa yenye kemikali ni upuuzi. Wanaokufa kwenye fumigation ni mende na si virusi ikiwemo virusi vya Corona.

Suala la kupuliza dawa ni upumbavu mtupu. Hakuna kirusi cha Corona kinachoweza kufa kwa Chlorine. Naomba IGP na Vyombo ulinzi mkachunguze walikuwa na lengo gani na nani alitoa hizo dawa” Rais JPM, 22/04/2020, Chato, Geita.

Nini maoni yako??
 
Jifukizeni mitishamba!
Mwenye picha ya kikombe babu atupie hapa tafazali
 
Chato anafanya nini? Tulimchagua akae ikulu, huko anafanya nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio unatatizo,bahati mzuri tumepata rais isiyependa blah blah,nyeupe iitwe nyeupe kadhalika nyekundu

Sasa kama mlizoea siasa kila kitu kwa jpm mtaugua presha ,hotuba ilikuwa mzuri na nimeipenda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama unaona aliyoongea ni sahihi basi akili yako ina matatizo makubwa sana!
 
Hongera sana mheshimiwa Rais kwa kutengeneza viumbe kama huyu mtoa mada ambao ni adimu sana kuwapata katika ulimwengu wa sasa. Ni aina fulani ya binadamu ambayo ilishatoweka siku nyingi na kuipata kwa urahisi labda umtumie DR Leakey

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh uchunguzi tena ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaitaji tukope ili tuji jengee uwezo, kinachotakiwa fedha zinazo kopwa ziwe na riba yenye mantiki na fedha izo zitumike vizuri katika miradi husika.

Kwasasa tuna miradi mikubwa ya ma trilioni ya shilingi endapo itakamilika na ikaendelezwa vizuri taratibu kama nchi tuta anza ku ukimbia utegemezi na kuombaommba.

Mim nampongeza JPM kama kweli kila mwezi tunaweza kulipa bilioni miasaba za madeni tena mengine ameyarithi, uyu jamaa ni mwamba kwelikweli.Sasa naanza kumwelewa anaposema Nchi hii inaweza kuwa Donor country.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli kukopa sherehe, kulipa matanga.
Kwani tulishikiwa fimbo kukopa?

Mimi naona tunalalama sana. Huwezi ukampangia mtu anaekudai kiwa akusamehe. Wewe ulivyokua unakopa ulikua umewehuka au?

Dawa ya deni ni kulipa tu.
 
Bado unategemea summary zinazofanywa na some members wa JF? Hotuba ipo hapo, huu uvivu mtaacha lini?
Unachekesha...yaani nitumie madakika kadhaa kumsikiliza Magufuli?! That will never happen!!

Btw, Magufuli aliyeita barakoa ni mavitambaa ya puani, atashindwa nini kusema barakoa zina coronavirus au ukijifukisha unaweza kuua coronavirus?! Ikiwa amesema
 
Rais Magufuli yuko sahihi kwa 100%
 
Mkuu Marekani ni kubwa, Ina majimbo 52 na kila Jimbo linautawala wake, sema ni wamarekani wa Jimbo gani wameandamana?
 
Usikalili kijana,rais ni higher authority anaweza endesha shughuri zake akiwa popote pale,rais ndio Ikulu ,Ikulu sio jengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…