Watu naona wana chuki tu na raisi wetu wengi hawajui rais anaweza kuhutubia taifa hata akiwa mkoa wowote wa tanzania na mahali popote tanzania mfano kila mkoa kuna ikulu ya rais
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ni pessimistWafiche au wasifiche ngoma itakita 4000 wakati wa Iddi el fitri
Endelea kuota ndote nyevu tu.
Chemsheni maji mpaka 100CC alafu jifukuzie ..virus anakufa apo apo. Kuna mjinga eti huo mvuke ukiwa wa moto sana inaweza kuchoma au kuaffect njia na mfumo wa hewa..Hii si kweli maana mfumo wa hewa ni ngumu nani plastiki
Watanzania tu mabingwa wa kupongeza hata kisichopongezekaRais Magufuli hakupepesa macho
Mkuu nahisi unajambo unataka kuzungumza ila unashindwa uanzie wapi!Jaribu kufanya ziara kwenye mochwari zetu ujionee
Jr[emoji769]
Vipi Spain, Italy, France, USA wanafanya fumigation?
boss kama kuna maraisi/mawaziri wakuu wanapata ugonjwa wakiwa ikulu kuna ubaya gani yeye kuzungumzia akiwa home lockdown
Kumbe hawa jamaa wanaweza kupandikiza virus wa corona kwenye barakoa hizi wanazotupa misaada!!!
Tunawakwepaje kwenye "test kits" maana najua hatutengenezi hapa nchini!!
Mtukufu rais umenifanya nifikirie uhalali wa hospitali maana 95% ya vifaa tiba na madawa ni ya hao watupao misaada.
Leo umesema eti nchi yetu ni maskini? (sikusikia vizuri kipande hicho)
Mtukufu rais tumekumiss dar salaam.
Mifano hai bwelelee kila konaWe jamaa ni pessimist