Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

Enzi za Benyamini W. Mkapa kwenye ule utaratibu wake wa kuhutubia taifa kila mwezi, nakumbuka mwezi mmoja alipigaga show live akiwa kwenye matibabu Uswisi na ilikua POA tu
 
Yaani hapa wamefaulu kutufanya tuingalie TBC
Graph ya viewer's imepanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…