Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

“Kwa hali hii, kama wiki tunayoianza kesho itaendelea hivi nimepanga kufungua vyuo ili Wanafunzi wetu waendelee kusoma, lakini nimepanga pia kuruhusu michezo iendelee kwasababu michezo ni sehemu ya Burudani, maisha lazima yaendelee” -JPM #JPMChato millardayo on Twitter
 
Huyu mzee hajafahamishwa vizuri kuhusu huu ugonjwa,mbona analeta mzaha hivi
yeye mwache tu,mbona amejificha chato arudi dar tupige kazi na afanye ziara zake kama kawaida hapo ndio nitaamini maneno yake,kwaniini anatuambia sie tupige kazi tupukitike wakati yeye amejikarantini? Nadhani mzee ana target ya kuwaperish wagonjwa wenye magonjwa nyemelezi wote,watu wenye presha,sukari,overweight(obese),ngoma ndio watakaoumia.
 
Safiii Bora tugungue Mana kujifungia sio suluhisho ,@mh.Dr.John P Magufuli juu, Mwenyezi Mungu akulinde siku zote, more blessings 2 you
 
Hakuna kitu alishawahi kuongea ukakubali
 
Nimemsikia huyu mjamaa akisema eti watalii wanafunguliwa milango soon '"wakishapimwa temperature wakaonekana liko chini waende wacacoronise" huyu jamaa akapimwe upstairs aisee hayuko vyema
 
Mimi mtu asitmye mwelewa Rais Magufuli huwa nahesabu kama ni takataka tu.

Viba JPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwiii nasoma comment yako huku naogopa
 
Nichukue fursa hii kumpongeza waziri wa Utalii Dr Kigwangalla kwa kuhakikisha watalii waliofanya booking wanalinda ahadi zao.

Nipo hapa Arusha kama mtalii wa ndani na nimefurahi sana kusikia kuwa watalii wa nje wataanza kumiminika tena soon.

Maendeleo hayana vyama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…