Rais Magufuli: Hakuna lockdown Tanzania! Mwanangu amepona COVID-19 kwa kujifukiza (Mei 17, 2020)

Najua hii hotuba imekuuma sana,!
Taratibu utaelewa tu, hata darasanai kuna wanafunzi huwa inachukua muda kuelewa.

Viva JPM

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyerere pekee ndio alifaidi kuongoza watanzania wajinga, hakuna rais mwingine atapata bahati hiyo. Watu wameshaamka muda mrefu. Huyu ni kama anaanika nguo kavu.
 
Kwa hiyo taarifa ya wagonjwa iliyotolewa ni nzuri mno kuwa ya kweli?
 
Rais ni muongo, hakuna aliyesema awafungie wakulima, kwanza lockdown ya Dar ndiyo ingewaepusha wakulima na maambukizi. Halafu watu hata hawaelewi. Dah!
Wewe ndio muongo hujui unachandika
 
Una uhakika na huo upuuzi unahangaika nao au Ni mihemko ya kichama inakusumbua!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huruhusiwi kwenda sokoni, na saa nyingine unaruhusiwa kutoka kidogo tu, halafu usiku usitoke kana kwamba Corona inatembea usiku ....

Hapo kwenye rangi kuna mtu kapigwa hahaaa
 
Hakuna atakaemsikiliza,kila mtu anamjadili magufuli
Mbowe hana watu wazuri wa PR,unawezaje kupanga kutoa hotuba siku moja na Rais?atakuzima tu kwa hoja,mara ya tatu hii anafanya kosa hilo

Ingekuwa ni rais mwenye hoja hapo sawa, sio huyo mpika data.
 
Hata mm nilishajiuliza hivi usiku tu ndo korona inaambukiza kwasababu muingiliano wa watu ni mkubwa sana mchana Sasa hiyo usiku unawafungiaje watu angali asilimia kubwa watu wapo majumbani kwao. Waafrika tunakopy na kupest hata atuedit. Piga Kaz mzee baba watakuelewa badae tena kwa aibu kubwa sn
 
Unaandika kama baamedi!!
 
Ulisema weekend hii utaleta taarifa ya tanzia kwakuwa wabunge 6 wa ccm wamelazwa wako hoi, vipi iko wapi hiyo tanzia..?

Ok tufanye hawajafa leta hapa hata majina yao tu basi na hospit waliko lazwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm sina tatizo na msimamo wako wa kuchagua kutomuamini "because as u said is non of my business and I respect that" tatizo lilikuwa pale tu unataka na wengine tusimuamini kwa sababu tu ww humuamini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nilisema nataka wengine wasimuamini kisa mimi simuamini?

Mkuu,kama wewe unamuamini tambua ya kwamba wengine hawamuamini hata kama atatenda linalokupendeza wewe, hata kwenye maisha yako ya kawaida kuna watu wengine wanakuamini na wengine hawatokuami kadri ya utakavyojiweka kwenye jamii yako.

Mimi simuamini huo ndo msimamo wangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh..!
Kama ni hivyo basi hali ni ya kutisha.

Ila na wewe mbona hukuleta hii taarifa kabla ya hotuba ya Magu!?
 
Huruhusiwi kwenda sokoni, na saa nyingine unaruhusiwa kutoka kidogo tu, halafu usiku usitoke kana kwamba Corona inatembea usiku ....

Hapo kwenye rangi kuna mtu kapigwa hahaaa
Huyo aliyepigwa hiyo sizani km ataweza kusimama. Lazma watafutane tena walete tena kikao chao cha kujitenga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…