Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Najua hii hotuba imekuuma sana,!
Taratibu utaelewa tu, hata darasanai kuna wanafunzi huwa inachukua muda kuelewa.
Viva JPM
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere pekee ndio alifaidi kuongoza watanzania wajinga, hakuna rais mwingine atapata bahati hiyo. Watu wameshaamka muda mrefu. Huyu ni kama anaanika nguo kavu.