Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
mkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,Tupatie sababu za kisayansi kwanini huamini kwamba nyungu ni kinga mojawapo ya Corona...wenzako wameshatoa sababu za kisayansi kwamba virus huyo hawezi kustahi mili kwenye heat...kwa hiyo kujifukiza kunaleta heat kwa hiyo huyo virus anapukutika...
Haiwezi kuwa chanjo,Ni watu wanakinga zao tumkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,
inamaana mtu akipiga nyungu ndiyo inakua kinga means nyungu ni chanjo ya korona??
Ndege zipo waziHivi wale wanafunzi wa Mataifa mengine ambao walikua wanasoma vyuo vikuu TZ
Wao inakuaje ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika Mungu amejibu maombi yetu.Karibu
Wageni wameshawasili katika sherehe hii ambayo wateule kadhaa wataapishwa akiwemo Naibu waziri wa afya, Katibu tawala mkoa wa Pwani Mkurugenzi wa Takukuru na mabalozi.
Rais Magufuli ameshaingia ukumbini tayari kuanza kuwaapisha wateule wake.
=====
Baadhi ya mambo yaliyozungumzwa
Prof. Kabudi - Canada yaipongeza Tanzania kwa hatua ilizochukua dhidi ya CoronaVirus na wameahidi kusaidia kusaidia kwenye swala la elimu
Waziri Wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Canada. Canada imetupongeza kwa namna ambavyo tumepambana na Covid19. Wameahidi watatisaidia katika maeneo ya elimu na afya kwa kadiri mahitaji yetu yatakavyokuwa.
Nilimsisitizia Waziri yule kuwa sisi watupe pesa na tutajua ni maeneo gani katika nchi hii tutazipeleka, katika kuimarisha uchumi na katika kupambana na maradhi haya.
Juzi pia niliongea na Balozi wa Umoja wa Ulaya. Umoja wa Ulaya umeamua kutoa Dola milioni 38 ambazo zitakuja Tanzania kutusaidia katika maeneo mbalimbali baada ya hili janga la Coronavirus.
Pia niliongea na Balozi wa Sweden kwa njia hii hii ya mtandao. Sweden wataongeza Dola milioni 20 katika bajeti ya elimu na Dola milioni 10 kwenda TASAF
Ummy Mwalimu - Tulijiandaa kuchukua uwanja wa sabasaba ili kuwaweka wagonjwa wa corona lakini sasa wagonjwa wamepungua kwa hiyo uwanja umerudishwa
Suleiman Jaffo - Nyungu season two inaanza Jumatatu... pia tuwaambie watalii kuwa, wanakaribishwa Tanzania wakifika wanapewa zawadi ya nyungu
Magufuli - Corona bado ipo, imepungua ni kweli lakini tuendelee kuchukua tahadhari
- Msikubali vifaa vya corona vinavyogawiwa na taasisi mbalimbali, kama ni kupokea kifaa cha kupambana na corona, kipitie Wizara ya Afya na kiwe checked.
- Katika michango hii unaweza kuletewa hata barakoa zenye corona kwa kuwa trend yetu iko vizuri, vya bure ni vibaya
- Mtu akileta kifaa kikichunguzwa kikakutwa na korona apewe kesi ya jinai hata ya kuua kabisa
- Vyuo vikuu vyote vitafunguliwa tarehe 1/6/2020
Vijana wa kidato cha sita watarudi shuleni 1/6/2020, pia iandaliwe crash program ili isiharibu utaratibu wa wao kuingia chuo kikuu,
Sekondari na shule za msingi zinapewa muda wa kujitazama ila chuo kikuu wanajitambua
Michezo
- Kuanzia tarehe 1/6/2020 michezo yote ianze rasmi kuanzia ligi daraja la kwanza, taratibu za kushangilia na kushabikia zitatolewa muongozo na Wizara ya Afya
Immunity inaongezeka mtu akiwa anainteract, ukimfungia immunity inaweza kushuka kwa 30%
--
Kuanzia tar 27/28 Mei 2020 itaanza kuruhusu ndege kuingia nchini, na watalii hawatafungiwa kwa siku 14, atamuikwa na kama joto lake litakuwa chini ya ile jotoridi linalotakiwa,
Miti ya kujifukiza itolewe kama Complementary kwa watalii
Magufuli: Mungu amejibu maombi yetu.
Watakaoguswa kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili tutumie siku hizo kumshukuru Mwenyezi Mungu
Wanao mhusu wako safe, peleka wa kwakoHongera Magufuli kwa uamuzi huu kufungua vyuo, michezo na kuwaruhusu form six kuendelea kuendelea na masomo ili kujiandaa na mitihani. Huu Ni uamuzi wa kujiamini baada ya kuona maambukizi kupungua. Tuombe Mungu Mambo yaende vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh ni Nani alisema nyungu ni chanjo? Kwani magonjwa yote Yana njanjo? Hivi Chlorowuin ni njanjo? After a second thought uliwahi kusikia kitu kinaitwa Sauna bath?? Kwa maoni yangu wazungu nao wana aina Fulani ya nyungu...haya ni maoni yangu binafsi..mkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,
inamaana mtu akipiga nyungu ndiyo inakua kinga means nyungu ni chanjo ya korona??
narudia tena kukuuliza, Nyungu ni kinga ya korona???Mmh ni Nani alisema nyungu ni chanjo? Kwani magonjwa yote Yana njanjo? Hivi Chlorowuin ni njanjo? After a second thought uliwahi kusikia kitu kinaitwa Sauna bath??
Mimi nasubiri kushika beleshi siku ya kuchimba kaburi lako. Nyambafu wewe usiyeweza kutumia akili zakoWewe endelea kumfuata askofu tena ikiwezekana nenda na familia yako mkajifungie kwake kabisa mkisubiri corona iishe duniani.
Yani mkisikia hakuna kisa cha corona hata kimoja dunia nzima ndio mnatoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyungu ni miongoni mwa tiba ya coronanarudia tena kukuuliza, Nyungu ni kinga ya korona???
maana mtu anavyosema kuwa hao kina kabudi hawajavaa barakoa kwasababu walipiga nyungu anakua anamaanisha kuwa nyungu ni kinga ya korona.
hivi ukimeza dawa ya malaria ndiyo hutumii chandarua tena???
dawa ya malaria ni kinga ya malaria??
Afrika ya afrika!Africa ipi?
ukipiga nyungu ndiyo tayari umeshajikinga na korona ndiyomaana wahusika hawavai tena barakoa kwenye mikusanyiko?Nyungu ni miongoni mwa tiba ya corona
Haha kwani Wewe haukufanikiwa kufika chuo kikuuBasi kumbe wanachuo Wana raha Sana,Ina maana hata nikikacha kipindi mwalimu haji bwenini kusaka waluojongo vipindi?,mwalimu wa zamu hafanyi patrol bwenini?.
Nisivyopenda kusoma,ningeota kitambi asee😆😆
Au chato?Afrika ya afrika!
Angalia nisije kuchimba mimi lako kwanza!Mimi nasubiri kushika beleshi siku ya kuchimba kaburi lako. Nyambafu wewe usiyeweza kutumia akili zako
Sisubiri kudanganywa, naona mnavyomgwayaKakudanganya nani huyo?
In God we Trust