Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Tupatie sababu za kisayansi kwanini huamini kwamba nyungu ni kinga mojawapo ya Corona...wenzako wameshatoa sababu za kisayansi kwamba virus huyo hawezi kustahi mili kwenye heat...kwa hiyo kujifukiza kunaleta heat kwa hiyo huyo virus anapukutika...
mkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,
inamaana mtu akipiga nyungu ndiyo inakua kinga means nyungu ni chanjo ya korona??
 
mkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,
inamaana mtu akipiga nyungu ndiyo inakua kinga means nyungu ni chanjo ya korona??
Haiwezi kuwa chanjo,Ni watu wanakinga zao tu
 
Hakika Mungu amejibu maombi yetu.
 
Wanao mhusu wako safe, peleka wa kwako
 
mkuu kuwa serious, jamaa amesema kuwa hao viongozi hawajavaa barakoa kwasababu wamepiga nyungu,
inamaana mtu akipiga nyungu ndiyo inakua kinga means nyungu ni chanjo ya korona??
Mmh ni Nani alisema nyungu ni chanjo? Kwani magonjwa yote Yana njanjo? Hivi Chlorowuin ni njanjo? After a second thought uliwahi kusikia kitu kinaitwa Sauna bath?? Kwa maoni yangu wazungu nao wana aina Fulani ya nyungu...haya ni maoni yangu binafsi..
 
Mmh ni Nani alisema nyungu ni chanjo? Kwani magonjwa yote Yana njanjo? Hivi Chlorowuin ni njanjo? After a second thought uliwahi kusikia kitu kinaitwa Sauna bath??
narudia tena kukuuliza, Nyungu ni kinga ya korona???
maana mtu anavyosema kuwa hao kina kabudi hawajavaa barakoa kwasababu walipiga nyungu anakua anamaanisha kuwa nyungu ni kinga ya korona.

hivi ukimeza dawa ya malaria ndiyo hutumii chandarua tena???
dawa ya malaria ni kinga ya malaria??
 
Wewe endelea kumfuata askofu tena ikiwezekana nenda na familia yako mkajifungie kwake kabisa mkisubiri corona iishe duniani.

Yani mkisikia hakuna kisa cha corona hata kimoja dunia nzima ndio mnatoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nasubiri kushika beleshi siku ya kuchimba kaburi lako. Nyambafu wewe usiyeweza kutumia akili zako
 
Nyungu ni miongoni mwa tiba ya corona
 
unabii unaelekea timia

darasa halitimii bila wapiga kelele hivo msiwashangae hawa oya oya wamitandaoni
 
Basi kumbe wanachuo Wana raha Sana,Ina maana hata nikikacha kipindi mwalimu haji bwenini kusaka waluojongo vipindi?,mwalimu wa zamu hafanyi patrol bwenini?.
Nisivyopenda kusoma,ningeota kitambi asee😆😆
Haha kwani Wewe haukufanikiwa kufika chuo kikuu
 
Kuna baadhi ya wanafunzi walisha sign boom likaingizwa kwa a/c mtaani walikuwa wanaonesha kuwa wanasoma elimu yakulipwa kamahawakujua kunakurudi chuo
 
Mimi nasubiri kushika beleshi siku ya kuchimba kaburi lako. Nyambafu wewe usiyeweza kutumia akili zako
Angalia nisije kuchimba mimi lako kwanza!

Mimi nakushauri endelea kujifungi ndani na askofu wako hadi siku mtakapo sikia hakuna kabisa corona duniani ndio mnatoka sawa ee?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…