Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
Raisi yuko makini sanaaaa
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chamwino,Dodoma. Leo tarehe 21/05/2020 saa 1042 asubuhiAmesema wapi?
msikilize yeye basi,kwani kasemaje vyuo visifunguliwe???Utopolo tu hapo viongozi wote wamechoka / mimi nina Imani na Mbowe tu
we mzee vipi cheko? 😀
Hahaha Jafo kasema tunaend kwenye second season ya kupiga nyungu.next week yote.corona tupa kuleNgoja mzee amalize nimwombe akupe iyo wizara
vip na shule kaziweka pendingTarehe 1/06/2020 vyuo vinafunguliwa...bodi ya mikopo itoe mikopo kwa wakati!
Hizo badobadovip na shule kaziweka pending
Lakini kumbuka anakaa na uwaziri wiki tu, bunge likivunjwa kazi hamna anarudi kutafuta ridhaa ya wananchi.Dr Shika Mollel ,yaani jamaa hafananii kabisa na Unaibu Waziri.
Kwakupenda kuibua mijadala isiyo na faida wabongo mpo vizuri sana,upumbavu kama huu huwezi kukuta kule kwetu SOUTH SUDANKwenye kiapo sijaelewa wengine wameshika biblia kushoto wengine kulia..
Angevaa mngesema anasema corona hakuna wakati wanavaa barokoa, hawajaa pia mnasema wangevaa so naona sio rahisi kumridhisha kila mmoja hasa kwenye uwanja wa siasa.wanapenda kuvaa, wanaigilizia boss wao anataka nini? To sure hata kama uko distance inayotakwa, bado masks ni muhimu so as not to take chance!
Angu shi. Helu mayu. Naanza kupelekwa uchagani hivi hivi.
Yaani kuna mtu anatafuta chochote tu ilimladi akosoe, yuko tayali aseme mbona kipaza sauti ni cheusi badala ya kuwa cheupe.Kwakupenda kuibua mijadala isiyo na faida wabongo mpo vizuri sana,upumbavu kama huu huwezi kukuta kule kwetu SOUTH SUDAN
Sent using Jamii Forums mobile app