Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

"Kwa shule zingine za sekondari na msingi, tujipe muda kidogo tuangalie hii phase ya vyuo, kwa sababu wao ni watu wazima wanaojitambua tofauti na mtoto wa darasa la kwanza. Tutaona trend [hali] inavyokwenda."- Rais wa Tanzania, Dkt
@MagufuliJP
 
Source,Mhemishiwa Raisi,now now. Mliokula ada mtajijua
Usitake kupanikisha watu wewe kuna kitu umeshahau Walikuwa bado hawajafunga ile mid-term ya mwisho ndani ya mwaka. Kwa hiyo wakirudi wanaenda kumalizia wiki ambazo zilikuwa zimebaki kabla ya mid-term break hiyo, halafu baada ya hapo wana-break, na baada ya break hiyo wanafungua tena na hapo ndiyo ada nyingine inakuwa inahitajika.

Hiyo sasa itakuwa labda kuanzia mwezi wa 7 katikati au wa 8 mwanzoni, siyo leo. Hata hivyo haimaanishhi kuwa mimi nimekula ada na inaonyesha kama wewe unamiliki shule halafu unataka kuwachangaya wateja wako
 
Wanachuo rudini mkasome angalau mtaani kutatulia
 
Hukumsikia Lijuakali alisema chadema walitegemea kile kipindi wamejiweka karantin wangekufa wabunge anagalau watatu ili waseme waliona mbali na hako kajamaa ka G sam ndio kalipewa kazi ya kitangaza tanzia,!

Sasa hivi kana hasira kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha aise...nyie Ndugu zangu mnanivunja mbavu kwa vijembe vyenu...
 
Angevaa mngesema anasema corona hakuna wakati wanavaa barokoa, hawajaa pia mnasema wangevaa so naona sio rahisi kumridhisha kila mmoja hasa kwenye uwanja wa siasa

Sent using kidole gumba
Unakuwa guided na evidence!, data not otherwise! Kama unaangali CNN, from Monday wamelegeza masharti partially, na infection imeongezeka as of today in Michigan? (kama sikosei)
 
Hiyo combination ya miti ya kujifukiza ni ipi? Nayo imekuwa cleared na NIMR/Mkemia? Dozi ipoje? Ilikuwaje tukafuata vumbi kutoka Madagascar wakati mitishamba yetu ipo vizuri?
 
Back
Top Bottom