Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
"Kwa shule zingine za sekondari na msingi, tujipe muda kidogo tuangalie hii phase ya vyuo, kwa sababu wao ni watu wazima wanaojitambua tofauti na mtoto wa darasa la kwanza. Tutaona trend [hali] inavyokwenda."- Rais wa Tanzania, Dkt
@MagufuliJP
@MagufuliJP