Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Rais Magufuli: Hali kwa sasa ipo vizuri na Corona inapungua. Wanafunzi wa Form VI na Vyuo vyote kufunguliwa 01 Juni 2020

Kwa wanafunzi (wengi wao ni vijana wa chini ya miaka 25), nafikiri hapana shida sana. Kwenye michezo, wangeanza bila watazamaji kwanza na kuangalia hali inavyokwenda.
Waalimu wao vipi? Wenye Chronic debilitating diseases nao itakuaje au wakifa 1/10 ni negligible kwa taifa?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Wakuu naomba kujua jambo moja, Rais magufuli ameruhusu wanafunzi wa Vyuo Vikuu kurejea vyuoni na kuendelea na masomo yao, je kwa wale wanafunzi wa vyuo vikuu walioko huko Nyumbani Tanzania lakini wanasoma huku ng'ambo ambako nchi nyingi hawajaruhusu wanafunzi kurejea vyuoni watafanyaje,

mfano wanafunzi wanaosoma nchini Kenya, Uganda, Rwanda ambako hawajaruhusu watu wao kuendelea na mambo na bado wamefungiwa, watafanyaje waendelee na masomo yao kama hao wa huko tz?
 
Karibu
Wageni wameshawasili katika sherehe hii ambayo wateule kadhaa wataapishwa akiwemo Naibu waziri wa afya, Katibu tawala mkoa wa Pwani Mkurugenzi wa Takukuru na mabalozi.

Rais Magufuli ameshaingia ukumbini tayari kuanza kuwaapisha wateule wake.


=====
Baadhi ya mambo yaliyozungumzwa

Prof. Kabudi - Canada yaipongeza Tanzania kwa hatua ilizochukua dhidi ya CoronaVirus na wameahidi kusaidia kusaidia kwenye swala la elimu

Waziri Wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Canada. Canada imetupongeza kwa namna ambavyo tumepambana na Covid19. Wameahidi watatisaidia katika maeneo ya elimu na afya kwa kadiri mahitaji yetu yatakavyokuwa.

Nilimsisitizia Waziri yule kuwa sisi watupe pesa na tutajua ni maeneo gani katika nchi hii tutazipeleka, katika kuimarisha uchumi na katika kupambana na maradhi haya.

Juzi pia niliongea na Balozi wa Umoja wa Ulaya. Umoja wa Ulaya umeamua kutoa Dola milioni 38 ambazo zitakuja Tanzania kutusaidia katika maeneo mbalimbali baada ya hili janga la Coronavirus.

Pia niliongea na Balozi wa Sweden kwa njia hii hii ya mtandao. Sweden wataongeza Dola milioni 20 katika bajeti ya elimu na Dola milioni 10 kwenda TASAF

Ummy Mwalimu - Tulijiandaa kuchukua uwanja wa sabasaba ili kuwaweka wagonjwa wa corona lakini sasa wagonjwa wamepungua kwa hiyo uwanja umerudishwa

Suleiman Jaffo - Nyungu season two inaanza Jumatatu... pia tuwaambie watalii kuwa, wanakaribishwa Tanzania wakifika wanapewa zawadi ya nyungu

Magufuli - Corona bado ipo, imepungua ni kweli lakini tuendelee kuchukua tahadhari

- Msikubali vifaa vya corona vinavyogawiwa na taasisi mbalimbali, kama ni kupokea kifaa cha kupambana na corona, kipitie Wizara ya Afya na kiwe checked.

- Katika michango hii unaweza kuletewa hata barakoa zenye corona kwa kuwa trend yetu iko vizuri, vya bure ni vibaya

- Mtu akileta kifaa kikichunguzwa kikakutwa na korona apewe kesi ya jinai hata ya kuua kabisa

- Vyuo vikuu vyote vitafunguliwa tarehe 1/6/2020

Vijana wa kidato cha sita watarudi shuleni 1/6/2020, pia iandaliwe crash program ili isiharibu utaratibu wa wao kuingia chuo kikuu,

Sekondari na shule za msingi zinapewa muda wa kujitazama ila chuo kikuu wanajitambua

Michezo
- Kuanzia tarehe 1/6/2020 michezo yote ianze rasmi kuanzia ligi daraja la kwanza, taratibu za kushangilia na kushabikia zitatolewa muongozo na Wizara ya Afya

Immunity inaongezeka mtu akiwa anainteract, ukimfungia immunity inaweza kushuka kwa 30%

--
Kuanzia tar 27/28 Mei 2020 itaanza kuruhusu ndege kuingia nchini, na watalii hawatafungiwa kwa siku 14, atamuikwa na kama joto lake litakuwa chini ya ile jotoridi linalotakiwa,

Miti ya kujifukiza itolewe kama Complementary kwa watalii

Magufuli: Mungu amejibu maombi yetu.

Watakaoguswa kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili tutumie siku hizo kumshukuru Mwenyezi Mungu


minoti kutoka Canada ahahahaa tangu lini mbuzi jike kamkataa beberu
 
Tuacheni uvivu, tumeranda sana mitaani sasa bora hata turudi shuleni maana huku tunapoteza muda tu, hakuna CHA korona wala ndugu yake Na korona, tutaendelea kujikinga huku tunaendelea Na masomo.
 
W
" Tulitangaza siku tatu za kufunga, na sasa waislamu wako kwenye mwezi mtukufu wanafunga, napenda niwahakikishie Watanzania maambukizi ya COVID-19 yamepungua sana, Na ninaamini siku moja ugonjwa utaisha kwa sababu Mungu yupo pamoja na sisi, tusiogope,tusitishane,na bahati nzuri hata Singida hapa nawaona hamjaogopa sana,hata waliovaa barakoa ni wachache,hata mimi sikuvaa,hata mkuu wa mkoa hakuvaa kwa sababu Mungu wetu yupo pamoja na sisi ". Rais Magufuli akiwa anazungumza na wananchi wa Singida.

Chanzo: Habari Star Tv Tanzania
Watu waliokaribu naye wamepima corona wako negative
 
W
" Tulitangaza siku tatu za kufunga, na sasa waislamu wako kwenye mwezi mtukufu wanafunga, napenda niwahakikishie Watanzania maambukizi ya COVID-19 yamepungua sana, Na ninaamini siku moja ugonjwa utaisha kwa sababu Mungu yupo pamoja na sisi, tusiogope,tusitishane,na bahati nzuri hata Singida hapa nawaona hamjaogopa sana,hata waliovaa barakoa ni wachache,hata mimi sikuvaa,hata mkuu wa mkoa hakuvaa kwa sababu Mungu wetu yupo pamoja na sisi ". Rais Magufuli akiwa anazungumza na wananchi wa Singida.

Chanzo: Habari Star Tv Tanzania
Watu waliokaribu naye wamepima corona wako negative
 
W
" Tulitangaza siku tatu za kufunga, na sasa waislamu wako kwenye mwezi mtukufu wanafunga, napenda niwahakikishie Watanzania maambukizi ya COVID-19 yamepungua sana, Na ninaamini siku moja ugonjwa utaisha kwa sababu Mungu yupo pamoja na sisi, tusiogope,tusitishane,na bahati nzuri hata Singida hapa nawaona hamjaogopa sana,hata waliovaa barakoa ni wachache,hata mimi sikuvaa,hata mkuu wa mkoa hakuvaa kwa sababu Mungu wetu yupo pamoja na sisi ". Rais Magufuli akiwa anazungumza na wananchi wa Singida.

Chanzo: Habari Star Tv Tanzania
Watu waliokaribu naye wamepima corona wako negative
 
Wakuu naomba kujua jambo moja, Rais magufuli ameruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu kurejea vyuoni na kuendelea na masomo yao, je kwa wale wanafunzi wa vyuo vikuu walioko huko Nyumbani Tanzania lakini wanasoma huku ng'ambo ambako nchi nyingi hawajaruhusu wanafunzi kurejea vyuoni watafanyaje, mfano wanafunzi wanaosoma nchini kenya,uganda,rwanda ambako hawajaruhusu watu wao kuendelea na mambo na bado wamefungiwa, watafanyaje waendelee na masomo yao kama hao wa huko tz?
Waendelee kusubiri mpaka hapo mamlaka za nchi hizo zitakapo toa muongozo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaambukiza pia kupitia mate mate yanayotoka mdomo ni. Usipokuwa na barakoa mate yanaweza kutuma na kutua ukutani, juu ya meza, kwenye kutasa ni. Anaeyashika mate haya ni rahisi kupata maambukizi.

Hivi wale wanokula koni za Bakhresa nao wanaweza ambukizwa Convid 19?
 
" Tulitangaza siku tatu za kufunga, na sasa waislamu wako kwenye mwezi mtukufu wanafunga, napenda niwahakikishie Watanzania maambukizi ya COVID-19 yamepungua sana, Na ninaamini siku moja ugonjwa utaisha kwa sababu Mungu yupo pamoja na sisi, tusiogope,tusitishane,na bahati nzuri hata Singida hapa nawaona hamjaogopa sana,hata waliovaa barakoa ni wachache,hata mimi sikuvaa,hata mkuu wa mkoa hakuvaa kwa sababu Mungu wetu yupo pamoja na sisi ". Rais Magufuli akiwa anazungumza na wananchi wa Singida.

Chanzo: Habari Star Tv Tanzania
Heading (argument) yako ni ya kijinga
Ova!
 
Haina shida,! Uzuri mtu akifika chuo halazimishwi kusoma,
Ila maisha yatamlazimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi kumbe wanachuo Wana raha Sana,Ina maana hata nikikacha kipindi mwalimu haji bwenini kusaka waluojongo vipindi?,mwalimu wa zamu hafanyi patrol bwenini?.
Nisivyopenda kusoma,ningeota kitambi asee😆😆
 
🤣 🤣 🤣 yani nyungu ndiyo kinga ya korona?
🤣 🤣 🤣 yani nyungu ndiyo kinga ya korona?
Tupatie sababu za kisayansi kwanini huamini kwamba nyungu ni kinga mojawapo ya Corona...wenzako wameshatoa sababu za kisayansi kwamba virus huyo hawezi kustahi mili kwenye heat...kwa hiyo kujifukiza kunaleta heat kwa hiyo huyo virus anapukutika...
 
Hongera Magufuli kwa uamuzi huu kufungua vyuo, michezo na kuwaruhusu form six kuendelea kuendelea na masomo ili kujiandaa na mitihani.

Huu Ni uamuzi wa kujiamini baada ya kuona maambukizi kupungua. Tuombe Mungu Mambo yaende vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karibu

Wageni wameshawasili katika sherehe hii ambayo wateule kadhaa wataapishwa akiwemo Naibu waziri wa afya, Katibu tawala mkoa wa Pwani Mkurugenzi wa Takukuru na mabalozi.

Rais Magufuli ameshaingia ukumbini tayari kuanza kuwaapisha wateule wake.



=====
Baadhi ya mambo yaliyozungumzwa

Prof. Kabudi - Canada yaipongeza Tanzania kwa hatua ilizochukua dhidi ya CoronaVirus na wameahidi kusaidia kusaidia kwenye swala la elimu

Waziri Wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Canada. Canada imetupongeza kwa namna ambavyo tumepambana na Covid19. Wameahidi watatisaidia katika maeneo ya elimu na afya kwa kadiri mahitaji yetu yatakavyokuwa.

Nilimsisitizia Waziri yule kuwa sisi watupe pesa na tutajua ni maeneo gani katika nchi hii tutazipeleka, katika kuimarisha uchumi na katika kupambana na maradhi haya.

Juzi pia niliongea na Balozi wa Umoja wa Ulaya. Umoja wa Ulaya umeamua kutoa Dola milioni 38 ambazo zitakuja Tanzania kutusaidia katika maeneo mbalimbali baada ya hili janga la Coronavirus.

Pia niliongea na Balozi wa Sweden kwa njia hii hii ya mtandao. Sweden wataongeza Dola milioni 20 katika bajeti ya elimu na Dola milioni 10 kwenda TASAF

Ummy Mwalimu - Tulijiandaa kuchukua uwanja wa sabasaba ili kuwaweka wagonjwa wa corona lakini sasa wagonjwa wamepungua kwa hiyo uwanja umerudishwa

Suleiman Jaffo - Nyungu season two inaanza Jumatatu... pia tuwaambie watalii kuwa, wanakaribishwa Tanzania wakifika wanapewa zawadi ya nyungu

Magufuli - Corona bado ipo, imepungua ni kweli lakini tuendelee kuchukua tahadhari

- Msikubali vifaa vya corona vinavyogawiwa na taasisi mbalimbali, kama ni kupokea kifaa cha kupambana na corona, kipitie Wizara ya Afya na kiwe checked.

- Katika michango hii unaweza kuletewa hata barakoa zenye corona kwa kuwa trend yetu iko vizuri, vya bure ni vibaya

- Mtu akileta kifaa kikichunguzwa kikakutwa na korona apewe kesi ya jinai hata ya kuua kabisa

- Vyuo vikuu vyote vitafunguliwa tarehe 1/6/2020

Vijana wa kidato cha sita watarudi shuleni 1/6/2020, pia iandaliwe crash program ili isiharibu utaratibu wa wao kuingia chuo kikuu,

Sekondari na shule za msingi zinapewa muda wa kujitazama ila chuo kikuu wanajitambua

Michezo
- Kuanzia tarehe 1/6/2020 michezo yote ianze rasmi kuanzia ligi daraja la kwanza, taratibu za kushangilia na kushabikia zitatolewa muongozo na Wizara ya Afya

Immunity inaongezeka mtu akiwa anainteract, ukimfungia immunity inaweza kushuka kwa 30%

--
Kuanzia tar 27/28 Mei 2020 itaanza kuruhusu ndege kuingia nchini, na watalii hawatafungiwa kwa siku 14, atamuikwa na kama joto lake litakuwa chini ya ile jotoridi linalotakiwa,

Miti ya kujifukiza itolewe kama Complementary kwa watalii

Magufuli: Mungu amejibu maombi yetu.

Watakaoguswa kuanzia Ijumaa, Jumamosi na Jumapili tutumie siku hizo kumshukuru Mwenyezi Mungu


Chuma kimerejea. Tunataka hivyo, Rais aongee kutokea Ikulu tulipompangia it is weighty.
 
Wakuu naomba kujua jambo moja, Rais magufuli ameruhusu wanafunzi wa vyuo vikuu kurejea vyuoni na kuendelea na masomo yao, je kwa wale wanafunzi wa vyuo vikuu walioko huko Nyumbani Tanzania lakini wanasoma huku ng'ambo ambako nchi nyingi hawajaruhusu wanafunzi kurejea vyuoni watafanyaje, mfano wanafunzi wanaosoma nchini kenya,uganda,rwanda ambako hawajaruhusu watu wao kuendelea na mambo na bado wamefungiwa, watafanyaje waendelee na masomo yao kama hao wa huko tz?

Hii ni juu ya vyuo vilivyo ndani ya Tanzania, wanaosoma ng'ambo wafate maagizo ya vyuo au nchi wanazosoma. Ila y umeuliza haya? Unashangaza
 
Basi kumbe wanachuo Wana raha Sana,Ina maana hata nikikacha kipindi mwalimu haji bwenini kusaka waluojongo vipindi?,mwalimu wa zamu hafanyi patrol bwenini?.
Nisivyopenda kusoma,ningeota kitambi asee[emoji38][emoji38]
Kule wale tayari ni watu wazima hamna mtu wa kumfuatilia, ndio maana wengine wanaona na wanaendelea na masomo wakimaliza chuo wanaachana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom