Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.

Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.

Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.

Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Yaani mtu akisoma ulicho andika atadhani ndio ukweli hivii,kumbe ni kinyume cha mambo. Kweli unamlinganisha Comrade Magufuli na Membe au Lissu? It's ridiculous.Lissu mtoto wa loon Trump na Member mzee wa kula butter! Kweli kina kazi hapo.
 
sasa aibu gan? ENGLISH isnt our language, mbna china hawatumii english??? what are you talking about
Nani kakuambia English is not our language? Una hakika?
Nenda bungeni uone miswaada ya sheria ina andikwa kwa lugha gani? Mahakama zetu zinatumia lugha gani za mawasiliano kuanzia mahakama ya wilaya kwenda juu?
Na hata mawasiliano mengi ya kiofisi bado lugha ya kiingereza inachukua sehemu kubwa!
Sasa utasemaje sisi sio lugha yetu? Hivi unaweza kumpa hata u DC mtu asiyejua kiswahili na anajua kisukuma pekee?
 
Amejuruhiwa nini? Kuendesha siasa bila ustaarabu? au Ulitaka awe kama Kikwete? kila aingiae madarakani ana utaratibu wake wa kiutawala.
Hili ni tatizo. Kila mtu kuwa na utaratibu wake kutawala ni tatizo sana. Inamaana hapa hatujui anayefata atakuwa na utaratibu gani.
 
Tunajua jinsi y kushinda hatuna tabu. Wananchi wampende huyo lkn ushindi unajulikana
 
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.

Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.

Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.

Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
😂😂😂, Taifa la kichwa chako unalifahamu mwenyewe tu, Kama Lisu anaijua siasa ya Tz, msomi zaidi ya magufuli, Je 2015 Lisu alikuwa wapi kugombea urais!?. FOR WHAT IS WORTH LISU KWENDA IKULU NI NDOTO ZA MCHANA KWEUPE.
 
Lisu ndiye kiongozi anayepaswa Kuongoz Tanzania, hawa wengine wote hawafai hata kidgo, kila vitu vyao vina utata. Elimu ya lisu haina utata hata tone na ndiyo inamfanya awe mjenga hoja mzuri na kimbilio la kila mpenda haki. Matanga wanaumia sana
Non sense

Grow up
 
Demokrasia haitaki mambo ya kuachiana achiana kugombea

anaetaka kugombea aachwe agombee kivyake
 
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu dalili ya woga amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Maguful
Dalili ya uoga hii
Si umuache lissu aingie mchezoni?
Pia mshauri Membe achukue fomu kupitia CHAUSTA nae agombee kama kweli anao ubavu
 
Wewe jamaa utafanya watu wasile kabisa kwa hiki ulichokipost, yaani kumtaja Lissu kwa maccm ni kama unawaambia Corona imerudi tena kwa kasi,,!!
 
Yaaaaan nasema mwamba apendavyo kusifiwa akibahatika kuwa hai akistafu Urais atakufa kwa pressure kwa Hawa wanamsifu watakavyomgeuka
 
Nani kakuambia English is not our language? Una hakika?
Nenda bungeni uone miswaada ya sheria ina andikwa kwa lugha gani? Mahakama zetu zinatumia lugha gani za mawasiliano kuanzia mahakama ya wilaya kwenda juu?
Na hata mawasiliano mengi ya kiofisi bado lugha ya kiingereza inachukua sehemu kubwa!
Sasa utasemaje sisi sio lugha yetu? Hivi unaweza kumpa hata u DC mtu asiyejua kiswahili na anajua kisukuma pekee?

mkuu English is a second language sio language yenye priority, inatumika tu kwa sababu ni kama second language kwa saahv but hakuna dhambi yoyote usipojua kingereza, infact mambo ya kiofisi yanafanyika in English kwa sababu ya sheria za kimataifa, na kuelewana!

But when addressing nchi kama nchi unatumia kiswahili kama kawa na hakuna aibu, infact bungeni wanatoa maoni kwa kiswahili mbna
 
sasa si mtafute sera nzuri wananchi watakazovutiwa nazo, mmefika hatua ya kusema mwachie???ndo mmefikiria mpaka mwisho
 
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli...
Kwa degree au elimu ya nini mkuu?
Afu eti unaona ufisadi awamu hii mkuu?
 
ngoma ikawawekwa kati mwamuzi akawa fair sio Lissu hata HALIMA au Ester mmoja wao akisimama anamtupa chini huyu mjuba.
 
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.

Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.

Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.

Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Kuwatetea wezi. Ndiyo kuwatetea Watanzania? Kutetea acacia ndio huko? Natamani kutukana
 
Back
Top Bottom