technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
- Thread starter
- #201
mali zipi zingine zaidi ya gesi kikwete aliyompa mchina?Vp mbona hujaandika kuwa atasaidia Mabeberu kuina rasilimali zetu kwa Fujo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mali zipi zingine zaidi ya gesi kikwete aliyompa mchina?Vp mbona hujaandika kuwa atasaidia Mabeberu kuina rasilimali zetu kwa Fujo?
Hivi yale makontena ya mchanga bado yapo pale bandarini? au tulinyoosha mikono baada ya kulipwa tr 400 tunapewa bil 600 tena kwa mkataba wa miaka 5 kama mazuzu mnashangilia!Lissu huyu wa "MIGA"
Hakika, na ndio wanasababisha ccm watawale kwa muda mrefu.NAUSAPOTI UPINZANI KWA SANA ILA SIJAONA KAMA WAKO TAYARI KUSHIKA NCHI
mali zipi zingine zaidi ya gesi kikwete aliyompa mchina?
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Bora kulamba viatu, ninyi mnawalamba makalio mpewe misaada kujazia bajetiMbona hutuambiagi wafao kwa makeria kisukari, HIV? ? Mtateseka saana kuwalamba viatu mabeberu. Shiiidaaaa
Kwa suala la haki za binadamu atatusaidia, hasa kupigania haki za wanawake kama kina Bulaya, Halima, watoto sio Riziki lakini kwa Urais bado sana.Mmeamua kumchafua tu, lakini Lissu ni Messiah hata Herrord afanye nini maandiko yatatimia.
Mlimpiga marisasi Mungu Baba akamponya, sasa tulia kampeini ianze uone mziki wa TLissu!!Chadema huwa wanapenda kutishia nyau
Afadhali hata ya lema anaweza kupata kura
Huyo lissu huo urais ataupataje wakati ameamua kujilipua?
Amejuruhiwa nini? Kuendesha siasa bila ustaarabu? au Ulitaka awe kama Kikwete? kila aingiae madarakani ana utaratibu wake wa kiutawala.Rais magufuli anavyochukua form ni kwamba ameona jeraha alilotupa miaka5 halitoshi au?mpaka anaamua kulitia chumvi.
When all you need to do is to praise...Hatuyaangalii hayo madudu yako. Tunamtaka huyu huyu tuliye naye. Kumbuka, katuvusha salama coronani
Siyo Tembo vs Swala baliMnafananisha Tembo (magufuli ) na swala(tundu lissu). Get serious bwana
Katika kusoma Biblia Takatifu, agano jipya bila kunukuu injili husika na aya zake, Wakati ule Yesu Kristo ameshitakiwa na Mayahudi kwa Herodi na Herodi kumwona hana hatia, lakini Mayahudi walilazimisha asulibiwe.
Herode, kulingana na mila na Desturi za Kiyahudi, siku ya Pasaka alikuwa anaruhisiwa kumsamehe mfungwa au mtuhumiwa moja. Herodi aliwaambia Mayahudi kuwa amemsamehe Yesu kulingana na madaraka aliyopewa. Mayahudi yalipiga kelele na kusema Mtoe Baraba ambaye alikuwa jambazi sugu na Yesu asulubiwe.
Yesu pamoja na kutokuwa na hatia lakini alisulubiwa na Baraba aliachiwa huru.
Mh. Dr, Rais Makufuli hana hatia na ameifanyia Inchi mambo ambayo ni nadra kwa kiongozi wa Inchi
kuyafanya lakini kwa hulka ya Binadamu atasema asulubiwe.
Tutafakari falsafa za Kitaaluma.
Rais wetu ni Mwanasayansi.
Hulka ya mwanasayansi yeyote Duniani ni Kujenga, kuunda na kukabati/kukavati.
Mchumi na Mwanasiasa hulka yake ni kutafuta kuwafurahisha watu na kupigiwa makofi.
Mwanataaluma ya fedha ni kuweka akiba na mwoga kuingiza pesa kwenye ujenzi au mali za kudumu.
Tulipofika Watanzania, ulikuwa wakati mwafaka kumpata Rais Mwanasayansi ili aijenge Inchi yetu kwa
sababu ilifika mahali kama tungeendelea na uongozi tofauti na huu Inchi hii isingefaa kuishi hasa sehemu kama Dar.
Dar imebadilika kwa kujenga fly overs na kupunguza msongamano
Makao makuu yamehamishiwa Dodoma na kupunguza msongamano huko Dar.
Railway ianaimarishiwa.
Nishati ya umeme inaimarishwa.
Bara bara za lami zinaongezeka
Bandari inaimarishwa.
Makusanyo ya kodi yameongezeka kwa kiasi kikubwa na pesa inatumika vizuri
Ufisadi umekomeshwa.
Nk.
Tumuunge mkono Rais huyu wa kipekee ili atimize ndoto zake kwa manufaa ya Watanzania.
Wale wanaomsuta sasa wakumbuke kuwa siku za usoni jina lake litakuwa LULU kama la Mwalimu Nyerere.
Taifa pamoja na mengine linahitaji prestigious katika mambo yake. Rais ndio icon ya nchi ndio maana kauli na matendo yake yanalindwa kwa gharama kubwa sana. Sasa aibu kama hizi huko nje ya nchi mpaka lini? Hatutaki tena, kushindwa kuelewa swali na kujibu swali hizo ni level za katibu kata sio Rais.
Tunataka atakaye simama kusema jambo au kujibu iwe Tanzania imejibu. Jee hapa kuna mtu anaweza kusema Tanzania imejibu zaidi ya kusema atajijua?
Labda ashinde kwa kuchakachua au kwa kutumia vyombo vya ulinzi na usalama!.Magufuli the best president atashinda asubui tu tena kwa kura nyingi sana amefanya makubwa