Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
Jamaa this time atashinda zaidi ya 80%. Ni suala la muda tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulimpata Mzee Mwinyi yeye anapenda kupeta mambo yalikuwa ruksa. Tulimpata Mkapa yeye alikuwa anabana sana tulitoka kapa. Akaja Mzee Kikwete yeye ni Mzee wa bata tulikula bata nchi nzima. Amekuja Magufuli yeye ni mtu wa kazi sasa nchi nzima ni hapa kazi tu sasa Chadema wanataka wenyewe kutuletea Tundu Lisu yeye ni mtetezi wa mashoga inamaana kwa trendi na uzoefu hii nchi itaingia katika historia mbaya zaidi duni kwakuwa na machoko wengi kilakona hata kupata wataalii
Mungu atuepushe na kizazi hiki kinachopenda kuingia shimoni huku kinaona.
Tunaingi kwa spidi zote,yoyote tutakaepambana nae tunakanyaga kanyaga tuBasi tulia kumbe mkeka uko barabara we kanyag tu mafuta.
technically
Naunga mkono hoja yako kwa asikimia 100
Hakika ni bora tu akanyoosha mikono kabla ya pambano na kukiri wazi kuwa muziki wa Tundu Lissu hauwezi, kuliko kujitafutia aibu ya kuangushwa vibaya kwenye sanduku la kura!
Wale mabingwa wa kuandaa midahalo ya wagombea urais sasa ndio mtuandalie mdahalo kati ya LISSU na Magu. Kijasho kitamtoka. Hajui hata Tanganyika ilipata uhuru lini wala Chato inapakana na wilaya gani upande wa masharikiUkweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Mlimuomba MUNGU atulinde na Corona lakini sasa huyu MUNGU kumbe amegeuka ni MAGU ndio anapewa sifa za kutuponya. Mweeee, ujinga huu sijui Mungu anatuonaje.Hatuyaangalii hayo madudu yako. Tunamtaka huyu huyu tuliye naye. Kumbuka, katuvusha salama coronani
Tunategemeana,tunazihitaji pesa zao nao wanahitaji mazao yetuSawa ila tumefunga kama hawajatubembeleza basi hatuna shida na wao.kila mtu abaki na mambo yake dharau hatutaki
Tuanategemeana sawa ila dharau hatupendi.Tumepiga pini mpaka hata balozi wao akilia hatufungui.Tunategemeana,tunazihitaji pesa zao nao wanahitaji mazao yetu
Alifanya nini zaidi ya kujificha?..Hatuyaangalii hayo madudu yako. Tunamtaka huyu huyu tuliye naye. Kumbuka, katuvusha salama coronani
Sie ndio waathirkaTuanategemeana sawa ila dharau hatupendi.Tumepiga pini mpaka hata balozi wao akilia hatufungui.
Sisi tushapiga pini.cha muhimu hatuhitaji tena machozi ya balozi wao kubembeleza kwenye confrence na media za TZ.Sie ndio waathirka
Mbona hutuambiagi wafao kwa makeria kisukari, HIV? ? Mtateseka saana kuwalamba viatu mabeberu. ShiiidaaaaLeo hii amezikwa mtu hapa kafa na corona, hujavuka bado badi anewatia moyo watu wateketee mdogondogo na kimyaa kimyaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda niseme, Katunusuru lock down sisi wanyongeAfrica nzima imevuka salama kwa sababu ya mazingira ya joto
Hakuna Mungu wa watanzania tuu. Mbona Kenya walijifungia ?? Mbona Uganda, na Rwabdaa walijifungia? ? Kama sio huyu wetu tungefia ndani kwa njaacorona siyo Mungu tena aliyetuvusha au dah hii kiburi ya ccm lazima muangukie pua safari hii
Yeye sio Mungu akomeshe vifo. Kila siku kuna mtoto anazaliwa wodini na kila siku kuna mfu mochwari lakini mbona mnamsakama huyu tuuKawavusha wakati watu wanakufa ovyo!
Watu wamepotezea maisha ikulu au? ? Mtu kufa kunauhusiano gani na rais? ? Inamaana angekuwa mwingine vifo vingekoma Tz na duniani kote? ? Tafuteni visingizio vingineKatuvusha salama kwenye corona wakati kuna watu wamepoteza maisha!
Alikuwa kwenye maombi ya kufunga na kuonbaAlifanya nini zaidi ya kujificha?..
Alafu kisasi kitalipwa lini ????!Namkubali Lissu ni hitaji la sasa la watanzania. Utawala wa awamu ya 5 umetuonyesha umuhimu wa nchi kuendeshwa kwa mujibu wa sheria na katiba na ubinadamu.
Lissu atatupatia katiba mpya Tanzania
Lissu atarudisha heshima na haki ya kila mtanzania itarudi
Lissu anathamini watu na utu na atarejesha umoja wa taifa uliosambaratishwa na awamu hii
Lissu atafanya weledi (professionalism) urudi katika utendaji serikalini na kuondoa siasa na woga wa kijinga uliotamalaki sasa katika utendaji
Lissu atarudisha utawala wa haki na sheria na uhuru wa mawazo na expression
Lissu atathamini wafanyakazi wote na kufanya wapate na kuona thamani ya jasho lao
Go Lissu go.....uwakomboe watanzania.