Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.

Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.

Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.

Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Haya maneno ya mfamaji haishi kutapatapa. Nashangaa unamfananisha tembo, Dr.Magu na sisimizi mtoto wajuzi kinda, Lissu. Ambaye hana hata masters...unachekesha
 
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.

Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.

Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.

Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Lissu ni mrefu kuliko Magufuli, Lissu ni mnene kuliko Maghufuli, Lissu ni mfupi kuliko Maghufuli, Lissu ana mbio kuliko Magufuli - sifa hizi na nyingine za Lissu ni ndoto tu hazija nufaisha taifa! Lakini, sifa za Raisi Magufuli zimenufaisha taifa na zinaonekana kufanya hivyo.
Utakuwa ujinga wa Alinacha kwenda na ndoto badala ya kitu bayana.
Viva Rais Magufuli.
 
Magufuli hajapandisha mishahara ya wafanyakazi,haja toa ajira zozote,ufisadi umeongezeka mpaka leo 1.4 trilion haijulikani imeenda wapi,mahospitalini madawa hakuna,sukari 5000 kilo, pia vitu mbalimbali vimepanda bei na kufanya maisha kua magum sana ,bila kusahau wastafu wengi waliostafia awamu yake hawajalipwa mafao kifupi ni kongozi anayeongoza kwa dhulma.
 
Magufuli hajapandisha mishahara ya wafanyakazi,haja toa ajira zozote,ufisadi umeongezeka mpaka leo 1.4 trilion haijulikani imeenda wapi,mahospitalini madawa hakuna,sukari 5000 kilo, pia vitu mbalimbali vimepanda bei na kufanya maisha kua magum sana ,bila kusahau wastafu wengi waliostafia awamu yake hawajalipwa mafao kifupi ni kongozi anayeongoza kwa dhulma.
Shwaiiiinnnnnnyyyy
 
Mko wewe na nani? Sisi tunamtaka rais anae Linda maslahi ya Watanzania ikiwa ni pamoja na afya zao si rais anae chukua cheap measurements za kusali kwa siku tatu.
Stupiddddddd wewe mpaka leo mbon bado unaishi ingekuwa cheap measurement si ungeshakufa
 
Kidunia,kila nchi zinategemeana.
Pesa ya Kenya ndio imeijenga Arusha,mwanza na Moshi
Basi sasa TZ ishafunga mpaka na KNY.AR na Kilimanjaro zitajengwa na mataifa mengine hatutaki ujirani wa dharau.
 
Anayeweza kumshinda Jiwe kwenye uchaguguzi ni mungu tu na siyo kiumbe chochote tu.
 
Haya maneno ya mfamaji haishi kutapatapa. Nashangaa unamfananisha tembo, Dr.Magu na sisimizi mtoto wajuzi kinda, Lissu. Ambaye hana hata masters...unachekesha
Tembo yupi? Tembo yupo busy kuwabambikia kesi kuwapiga risasi sisimizi? Tembo gani muoga anaogopa wadudu?
 
Anayeweza kumshinda Jiwe kwenye uchaguguzi ni mungu tu na siyo kiumbe chochote tu.
Ule huwa siyo uchaguzi bali ni CCM kujisimika kinguvu kwani hakuna sehemu CCM hushinda uchaguzi zaidi ya kufanya uchakachuaji
 
Hilo moja
Lingine atuambie ana uzoefu gani.asije akatuambia eti ana uzoefu wa kwenda mahakamani. Au ana uzoefu wa kupiga kelele
Huyo anayelazimisha kupendwa ana uzoefu gani? au kukamata meli ya samaki kisha kushindwa kesi kuingiza Taifa kwenye hasara ya kulipa fidia?
 
Ule huwa siyo uchaguzi bali ni CCM kujisimika kinguvu kwani hakuna sehemu CCM hushinda uchaguzi zaidi ya kufanya uchakachuaji
Sawa subiri watu waingie ikulu muanze kulialia kuandamana,mkumbuke atestiwi huyu.
 
Lissu ni mrefu kuliko Magufuli, Lissu ni mnene kuliko Maghufuli, Lissu ni mfupi kuliko Maghufuli, Lissu ana mbio kuliko Magufuli - sifa hizi na nyingine za Lissu ni ndoto tu hazija nufaisha taifa! Lakini, sifa za Raisi Magufuli zimenufaisha taifa na zinaonekana kufanya hivyo.
Utakuwa ujinga wa Alinacha kwenda na ndoto badala ya kitu bayana.
Viva Rais Magufuli.
Magufuli anatumia pesa zake binafsi kuleta maendeleo? au anatumia pesa ya walipa kodi? Je? Maendeleo ni haki ya watanzania au Hisani ya CCM ? Jibu haya maswali kwanza ndipo tuendelee
 
Huyo Membe agombee kupitia chama kipi maana sio mwanachama wa CCM.
 
Sawa subiri watu waingie ikulu muanze kulialia kuandamana,mkumbuke atestiwi huyu.
Ushindi wanao mfukoni hata uchaguzi ukifanyika ni bure wanapoteza pesa kwani Tumeccm itawapa ushindi CCM kwa njia za kienyeji kama kawaida yao
 
Lisu ndiye kiongozi anayepaswa Kuongoz Tanzania, hawa wengine wote hawafai hata kidgo, kila vitu vyao vina utata. Elimu ya lisu haina utata hata tone na ndiyo inamfanya awe mjenga hoja mzuri na kimbilio la kila mpenda haki. Matanga wanaumia sana
Jamani mnamuongelea Lissu yupi? Yaani yule aliyepinga kwa nguvu zote usafirishaji wa makanikia na mpata kuandika makala kwenye majarida kuonyesha jinsi TZ inavyonyonywa kupitia makanikia? HALAFU mabeberu walipofikia bei AKANUNULIKA na kuanza kulaani hatua zote za kuzuia makanikia kusafirishwa nje? Huyu Lissu aliyeiita ile report iliyotupa mabilioni ya pesa kuwa ni professorial rubbish? Kwa hili Lissu haongozi mtu. Hata Mungu wa mbinguni ataondoa neema zake nchi hii Lissu akiwa kiongozi wetu.
 
Ushindi wanao mfukoni hata uchaguzi ukifanyika ni bure wanapoteza pesa kwani Tumeccm itawapa ushindi CCM kwa njia za kienyeji kama kawaida yao
Maamuzi wanayo wananchi kulala au kilalia
 
Hiyo ndoto yako inatufundisha nini? Maana Chadema hawajapata mgombea wa Urais au ndo mmeahamchinjia baharini Peter Msigwa hata kabla ya vikao vya maamuzi?
 
Back
Top Bottom