Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Una miaka 6 mingine ya uvumilivu wakati Magu anaijenga nchi[emoji3][emoji3]
Lisu ndiye kiongozi anayepaswa Kuongoz Tanzania, hawa wengine wote hawafai hata kidgo, kila vitu vyao vina utata. Elimu ya lisu haina utata hata tone na ndiyo inamfanya awe mjenga hoja mzuri na kimbilio la kila mpenda haki. Matanga wanaumia sana