Dick mrisho
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 303
- 568
Mtoa nyuzi nna mashaka na DISHI lako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia Kenya kwenye strong measurements za lockdownMko wewe na nani? Sisi tunamtaka rais anae Linda maslahi ya Watanzania ikiwa ni pamoja na afya zao si rais anae chukua cheap measurements za kusali kwa siku tatu.
Umenikumbusha zamani sana jamaa 2008 wakati wa kura za maoni ndani ya chama cha Democrat wapibaki wagombea wawili wenye nguvu na Yule mgombea alimfuata Obama na kumwambia jiondoe kwenye kinyang'anyiro nikishinda nitakuchagua kua Makamu wa Rais...Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Lakini la Lissu kusapoti ushoga hatujamsemea sisi bali yeye mwenyewe wakati anaziara ya ulaya na America ndio alisema hivyo kwamba haoni tatizo la weee Sky Eclat kutafuta kabinti flani hivi amazing ukakawowa!Mmeamua kumchafua tu, lakini Lissu ni Messiah hata Herrord afanye nini maandiko yatatimia.
Lakini wanapima watu na wana rekodi ya maambukizi na vifo. Ni wakweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.Hamia Kenya kwenye strong measurements za lockdown
Mkuu hawa wamekuja ku "test the waters" wanasikilizia respond ya wananchi ambacho hawajui wapiga kura kwenye social media ni 15% tu ambayo napo wamegaragazwa vibaya sana...Leo naona wapiga kampeni mmekazana nimesikia
Nyalandu lisu mwele na wengne wanataja mwenyekiti
Naona watu hawajatia nia ila wajumbe mmewapa nafasi
Yaani ni tabu tupu leo naona kaongezeka msigwaMkuu hawa wamekuja ku "test the waters" wanasikilizia respond ya wananchi ambacho hawajui wapiga kura kwenye social media ni 15% tu ambayo napo wamegaragazwa vibaya sana...
Ukweli mchungu kama kufiwa na Covid-19Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Ndio tutafurahi na ajipange. Lissu anakuja tena. Sijui mwaka huu wasiojulikana itabidi wampige Bomu kabisa au nyukilia kabisa🤣🤣Akiangushwasi ndio utafurahi
Lissu gani wa kupambana na Magufuli? Naona umejishtukia umeona Lissu size yake membe na si Magufuli. Kama lengo la chadema ni kwenda ikulu na mnaona Magufuli akipambana na Lissu mna shinda Sasa kwa Nini mnataka apambane na maembe ambaye atamshinda Lissu? Au hamtaki tena kushinda urais?Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Sawa ila tumefunga kama hawajatubembeleza basi hatuna shida na wao.kila mtu abaki na mambo yake dharau hatutakiNi temporary
BADO SANANAUSAPOTI UPINZANI KWA SANA ILA SIJAONA KAMA WAKO TAYARI KUSHIKA NCHI
Kweli hao wanaweweseka hawajui hata Kama watapata wabunge.Magufuli the best president atashinda asubui tu tena kwa kura nyingi sana amefanya makubwa
Hasira za nini kamanda?Kapimwe kwanza wewe na mamako na babako pumbavu.
Inawezekana uliyoyaandika ni kwa nia njema tu lakini kiuhalisia ni dunia ya kufikirika. Magufuli hawezi kumwachia Membe hata iweje. Keshaonja asali na sasa anachonga mzinga. Halafu unamtaja na Makamba ? Mbona dogo hafai hata kidogo ? Hivi Tanzania tumeishiwa wagombea urais kiasi hiki mpaka umtaje huyo dogo ? Siamini kama tumeishiwa kiivyoMuda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.