kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,539
Mshahara mzuri anaonipa na kupita kwenye barabara nzuri kunatosha mtoto wangu anasoma bure na huduma za afya napata bila wasiwasiMaskini hulipwi kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara mzuri anaonipa na kupita kwenye barabara nzuri kunatosha mtoto wangu anasoma bure na huduma za afya napata bila wasiwasiMaskini hulipwi kitu
Mleta mada umemuona huyu shetani aliyefika? hawa ndo wanaomvimbisha jamaa kichwa bila kumshauri vyema, hawa ndiyo watakaomkimbia jama akiwa anaitafuta chattle kwa tochiHatuyaangalii hayo madudu yako. Tunamtaka huyu huyu tuliye naye. Kumbuka, katuvusha salama coronani
Tazama hili jisukule la lumumba linatembea bila kichwa halafu linasingizia threadHivi wewe kwa nini unapenda sana kuanzisha vijimada visivyo na miguu wala mikono?
Haya hayata msaidia akiwa njiani kuelekea chattleMagufuli the best president atashinda asubui tu tena kwa kura nyingi sana amefanya makubwa
Hivi Mombasa usharudi au bado naona akili haijakukaa sawaAmeishiwa na anahamu na mdoa ya jinsia moja
Usikute wakati unatuma huu utopolo ulikuwa umeshikishwa ukutaLisu ni muhmin wa kusapoti ushoga.kwa hili tu hatufai
Kwani aliyekuuliza chama chako ni nani? Hivi kwanini unakuwa kwenye lichama hulitaki lakini umekomaa nalo na kila ukiandika hoja yoyote lazima ujisalimishwe kwamba wewe siyo ccm. Tatizi kupenda kukaa bila kujishughulisha najua hapo kinachokutesa ni buku 7Unawaza utoto mkuu.
Lissu ni maarufu sawa ila hana cha maana kumzidi Magufuli, mi sina chama ila nakwambia bado Magufuli hana mpinzani kwa siasa zetu.
Wewe ni lofa na mpumbavu.Tazama hili jisukule la lumumba linatembea bila kichwa halafu linasingizia thread
Mi nafatilia siasa ila sina chama mkuu.Kwani aliyekuuliza chama chako ni nani? Hivi kwanini unakuwa kwenye lichama hulitaki lakini umekomaa nalo na kila ukiandika hoja yoyote lazima ujisalimishwe kwamba wewe siyo ccm. Tatizi kupenda kukaa bila kujishughulisha najua hapo kinachokutesa ni buku 7
Hata wewe ukilala ukajisahu nakutafuna tuUsikute wakati unatuma huu utopolo ulikuwa umeshikishwa ukuta
Mjinga tu au unashauri upuuzi kusudi ukifikiri kuna wajinga wataafikiana na ujinga wako.Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
Unaonekana umekunywa faru John angalia tu usije teleza.Ukweli mchungua Lissu ni maaarufu sana kuliko Magufuli, Lissu amesoma na kuelimika kuliko Magufuli, Lissu anaijua Tanzania na tatizo la nchi hii kuliko Magufuli, Lissu anaijuwa siasa ya ndani ya Tanzania na nje kuliko Magufuli, Lissu hana hata tuhuma moja ya ufisadi kama Magufuli.
Lissu anaelewa mizizi ya ufisadi wa taifa ili kuliko Magufuli, Lissu amekuwa akiwatetea watanzania hata kabla ya Magufuli kuanzia miaka ya 2000 uko.
Muda bado upo angalau ungemuachia Membe au Makamba angalau wangejenga hoja, Ila ukiendelea kutumia nguvu kupambana na Lissu utaenda Chato na mwenzio ataenda Ikulu.
Ukitaka kushinda jenga hoja ila kwa kutumia nguvu utaanguka na wapambe watakukimbia hakuna watu wanafiki kama watanzania hasa wapambe wa rais.
NAUSAPOTI UPINZANI KWA SANA ILA SIJAONA KAMA WAKO TAYARI KUSHIKA NCHI
Membe ni mgombea wa ccm chadema hawana mtu kama huyo au unalazimisha baada ya kubanwa mbavuLissu gani wa kupambana na Magufuli? Naona umejishtukia umeona Lissu size yake membe na si Magufuli. Kama lengo la chadema ni kwenda ikulu na mnaona Magufuli akipambana na Lissu mna shinda Sasa kwa Nini mnataka apambane na maembe ambaye atamshinda Lissu? Au hamtaki tena kushinda urais?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu hajatiwa hatiani acha kihoroLabda mleta Uzi hujui kuwa lissu hawezi kuwa mgombea wa cdm kwa kuwa lissu hapo alipo anakesi mbili za jinai,zinasubiri hukumu na amezikimbia ,lissu kamwe hawezi kuwa mgombea wenu labda kama mmeamua kuwa vipofu
Moja ya takwa la kisheria na katiba kwa mgombea yeyote wa nafasi ya udiwani ,ubunge na urais ni kuwa asiwe ametiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai ndani ya miaka mitano,hapa alipo jamaa wenu lissu anasubiri hukumu tu ambapo ni LAZIMA akutikane na hatia,hapo mchezo utakuwa umeisha kwa huyo vuvuzela wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
umevushwa wapi wakati umeambiwa corona haiishi leo wala kesho achakujitoa ufahamuKatuvusha salama kwenye corona wakati kuna watu wamepoteza maisha!
Mkuu atatiwa hatia hivi karibuni,kuwa mpole utaonaLisu hajatiwa hatiani acha kihoro