Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Angeweza kufanya hivyo kimya kimya, bila 📷
 
Huyu bwana kaenda kinyume na maadili ya kazi hana sababu ya kukaa kwenye ofisi ya Umma kama analeta tabia za kuzungumzia udini kwenye ofisi za Umma
 
Na hapo ndipo mnapofeli kila siku mnakalia mnasubiria dhawabu na wale Mabikira 72 mlioahidiwa na bwana mood badala ya kuwatetea kwa kupiga kelele kuomba haki itendeke kama mahakamani wapelekwe kama kufungwa wafungwe kihalali.Hapo tu lazima kipindi cha uchaguzi mtoe tu!!!.
 

Kila mtu ana haki ya kupiga kura kuchagua anayemtaka. Sasa usilszimishe sababu zinazokufanya wewe umchague mtu fulani ziwe ndo zilezile ambazo mtu mwingine anapaswa kuzitumia kumchagua unayemtaka wewe.

Kura ya mtu ni haki yake hata akiamua kumchagua mgombea mwenye sura nzuri hilo muachie yeye.
 
Kwa hiyo Rules of procedure zinazotungwa to guide the constitution and the laws therefrom ni upuuzi! Umesoma wapi kijana. Mimi nina miaka 47 ya sheria.......siyo kijana kama ulivyosema.


Sent using Jamii Forums mobile app
katiba inasema raisi hatatakiwa kufuata sheria za bunge zinazotoa mwongozo wa kuwaondoa wafanyakazi soma sheria kijana acha siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndo huwa namuelewaga magufuli,kasimama kwenye maadili,
,huyo msela yy huko mahakamani ashinde tu kesi kuchana kitabu cha imani ya mwenzio ni sahihi,tena ashinde tu ila kwenye maadili kala kibano

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Halafu Rais mimi nilimsikiliza usiku wakati wa marudio ya Hotuba yake. Rais hakusema kuwa amemfukuza kazi kwa sababu amechana Quran, hapana. Alisema kuwa amemfukuza kazi kwa sababu "HATUWEZI KUKAA NA WAFANYAKAZI WAPUMBAVU".Niliipenda sana hii
 
katiba inasema raisi hatatakiwa kufuata sheria za bunge zinazotoa mwongozo wa kuwaondoa wafanyakazi soma sheria kijana acha siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lako unasoma hivi vifungu in isolation! Kifungu hicho unachokimamania hakimpi Rais mamlaka ya kufanya atakavyo katika kumfukuza mfanyakazi! Nadhani tushie hapo maana tuko tofauti kabisa mimi na wewe!
 
Kwani imethitika kuwa kweli alichana kuruani? Usije kuta alichana makaratasi yenye maandishi ya lugha ya kiarabu halafu watu wanasema ni kuruani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu Rais mimi nilimsikiliza usiku wakati wa marudio ya Hotuba yake. Rais hakusema kuwa amemfukuza kazi kwa sababu amechana Quran, hapana. Alisema kuwa amemfukuza kazi kwa sababu "HATUWEZI KUKAA NA WAFANYAKAZI WAPUMBAVU".Niliipenda sana hii
Upumbavu wa huyo jamaa ni upi kama sio wa kuchana QURAN ambao kila mtu ameuona?
 
Upumbavu wa huyo jamaa ni upi kama sio wa kuchana QURAN ambao kila mtu ameuona?
Mpumbavu ni mtu ambaye hajui, na hajui kuwa hajui. Mimi ninavyoona, Rais amemfukuza kazi kwa sababu huyu mtu hajui kuwa Quran ni nini, na pia hajui kuwa hajui kuwa Quran ni nini. Kwa hiyo ni mpumbavu!
 
Dibagula alichana na kuikanyaga Biblia?

Kusema Yesu siyo Mungu siyo ishu maana imeandikwa hivyo kwenye Quran kuwa Yesu siyo Mungu.

hata Mashahidi wa Yehova wanasema Yesu siyo Mungu.
Sio mashahidi wa Yehova wanasema bali ni Biblia ndiyo inasema hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…