- Thread starter
- #321
Never, never , never!
Sent using Jamii Forums mobile app
vile vile kumbuka raisi habanwi na taratibu zozote za kisheria katika kuwawajibisha adabu watumishi wa serikali anaweza kuwaondoa anavyotaka bila kufata taratibu za kisheria soma ibara ya 36 ibara ndogo ya 3 na 4 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app