Rais Magufuli kuondoa sherehe za Uhuru ili fedha zikajenge hospitali Dodoma si jambo la sifa, ni kuonesha Serikali haina mipango hususan ya maendeleo

Sherehe za Uhuru zinamaliza hela tu. Hongera Rais Magufuli kwa kuliona hilo. Hii nchi imepigwa sana enzi za Kikwete kupitia visherehe vya ajabu ajabu.
Kwahiyo sherehe za uhuru alianzisha Kikwete du!

Kaazi kwelikweli ... kuna wakati unaweza kuruka MKOJO ukakanyaga MAVI japo vyote uchafu ila MKOJO una nafuu kuliko MAVI
 
Haya ni maigizo tu mnapanga bajeti wenyewe mnaikamilisha na mnatangazia umma kwamba nikiasi Fulani baada ya wiki inajtokeza taasisi nyingine ndani ya serikali hiyo hiyo inasema hatuta ipeleka kule bali tunaileta huku, wakati bajeti inapangwa walikuwa wapi?
 
Wewe utakuwa unafikiria kizama za agano lakaleee BC (Before Christ) ndomana nakwambia usikariri maandiko lielewe neno! Viongozi wa dunia yaleo wengi hupitia kwa waganga na hujilinda kwamahirizi hatakama j2 unawaona viti vyambele kanisani.
 
Kwa hiyo kwa akili yako, Magufuli kupeleka hela za uhuru kwenda kujenga hospitali ni budget reallocation? Ambayo mlifanya wewe na Magufuli au yeye na Dotto?
 
Uhuru wa Tanganyika hautakiwi tena kukumbukwa ,kwa vile kuna Tanzania sasa. Siku muhimu hapa ni Ya Muungano tuu.
Hamujui kuwa Nchi inaelekea kwenye serikali Moja?
Sooon muswaada utapelekwa bungeni kuanzisha mchakato wa serikali moja.
Mbona hata sherehe za Muungano alishawahi kuzifutilia mbali?
Soma hiyo kamanda:
 
Pesa inaenda kutumika kudidimiza demokrasia kurejesha mfumo wa chama kimoja
 
Hujaelewa anaongelea nini! Omba watu wakufafanulie.
 
Kwani hatuwezi kufanya sherehe bila gharama?

Maenesho yale si bure kabisa.
 
Wewe utakuwa unafikiria kizama za agano lakaleee BC (Before Christ) ndomana nakwambia usikariri maandiko lielewe neno! Viongozi wa dunia yaleo wengi hupitia kwa waganga na hujilinda kwamahirizi hatakama j2 unawaona viti vyambele kanisani.
Ndiyo maana nimesema kila mtu anayo haki yake ya kutoa mawazo, maoni na hata maamuzi on anybody. Hiyoni haki ya kila mmoja wetu. Pia tafsiri vivyo hivyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…