Rais Magufuli kuondoa sherehe za Uhuru ili fedha zikajenge hospitali Dodoma si jambo la sifa, ni kuonesha Serikali haina mipango hususan ya maendeleo

Rais Magufuli kuondoa sherehe za Uhuru ili fedha zikajenge hospitali Dodoma si jambo la sifa, ni kuonesha Serikali haina mipango hususan ya maendeleo

Uhuru wa Tanganyika hautakiwi tena kukumbukwa ,kwa vile kuna Tanzania sasa. Siku muhimu hapa ni Ya Muungano tuu.
Hamujui kuwa Nchi inaelekea kwenye serikali Moja?
Sooon muswaada utapelekwa bungeni kuanzisha mchakato wa serikali moja.
 
Inashangaza kuona wapigania demokrasia na uhuru wa kujieleza lakini hawapendi kusikia mawazo kinzani.......

Kama moyo wako bado unashindwa kuhimili mawazo kinzani upo mbali na sifa ya kuwa mwanasiasa!!!.....
 
Kwani izo sherehe zikiadhimishwa au kutokuadhimishwa zinakuongezea au kukupunguzia nn ktk maisha ya mtanzania ambaye haupo ktk kamati ya maandalizi ya hiyo sherehe???
 
Uhuru haukupatikana kwa izo sinema zinazofanywa huko viwanjani tuache kujazana ujinga
 
Huyu vipi!? Ndio wale wale wanaosema wanataka maendeleo ya watu siyo vitu! Hivi ni kipi kitendo cha maendeleo - watu kutumia Tshs. 834,742,000/= kwa ajili ya sherehe za uhuru za siku moja au kutumia hizo pesa kujenga miundombinu ya maendeleo kama hiyo hospitalini? Jamani mbona mmevurugikiwa sana hasa baada ya kupigwa kwenye GE ya juzi kiasi hata hamjui nini ni maendeleo na nini ni STAREHE!?
Wewe ndo ukae ujiulize kwani ujenzi wa hospital ulianza ujenzi hujui wapi? Pakupata pesa au haikuwa na bajeti au ulianza ujenzi bila bajet.

Ukisoma kwa makini mwandishi ajalaumu kwanini pesa ya sherehe ikajenge hospital Ila anaulza?

1: ujenzi ulianza bila bajet?
2: bajet ya hospital hakuwepo?
3:Kama ilikuwepo bajet ya hospital iko wapi?
4:ama Kama ilikuwa haitoshi ndo watoe ufafanuzi.
 
Hivi fedha zimeokolewa au zimebadilishiwa matumizi!
 
Kwani hayamaazimisho yalipangwa wakati wa kikwete?
Katika dada kima humu ni huyu janelowassa Yani mpaka huwaga NawaZa nayeye anamahusiano na binadamu au ndo DILDO maana sioni mwanaume wa kumwelewa mawazo yake
 
Moja wapo ya maamuzi ya ajabu kufanywa na kiongozi yeyote yule duniani ni kupuuza siku muhimu Kama siku ya uhuru wa taifa, hii ni siku inayopewa uzito mkubwa Sana popote pale duniani, sababu ni siku ya kuzaliwa kwa taifa.
 
Uko sahihi kabisa. Jamani sherehe za UHURU sio japo la kisiasa ni jambo la kihistoria. Nyerere na wenziwe walipoteza nguvu nyingi kuutafuta uhuru wa nchi. Duniani sis ndo wa kwanza kubeza tukio hilo. Watawala eti wata save mil 834. Hizo ni sawa na gharama ya V8 3. Watoto wananyimwa haki yao ya kushuhudia wanachokisoma kwenye vitabu kwa vitendo. Wanaharisha kutafuta political mileage au umaarufu wa kisiasa sio kusave gharama. Tunaua historia ya nchi hii. Nyerere uko alipo anasikitishwa na uimla wa namna hii.
Watoto hawajanyimwa kushuhudia chochote hapo. Wanachosoma darasani ni matukio na michakato ya uhuru na si hizo sherehe na shamrashamra za maadhimisho. Sherehe ni muhimu kweli ila kwa kuwa kiongozi kaona umuhimu zaidi kwenye kitu kingine hakuna nongwa yoyote. Acha nchi ijengwe, sherehe baadae. Maana hata hao watoto wakiugua hawataenda kutibiwa pale Jamhuri na halaiki au matarumbeta! Watapelekwa hospitali ya Uhuru.
 
Kinachoonekana au kujificha kwa huyu jamaa ni Roho mbaya na Uchoyo.
Anajua sherehe za Uhuru zikifanyika watu watalipwa hela za posho kujikimu na yeye hataki!!!
Kama Rais anaweza toa kauli tata kama "....WALE WALIOKUWA WANAPATA MISHAHARA MIKUBWA NITAWASHUSHA WAISHI KAMA MWASHETWANI..." mwisho wa kunukuu.
Huu nao ni ulimbukeni mwingine unaowatafuna nyie watu. Ni lini rais alitoa hiyo kauli yako hapo chini? Chuki zenu za kipuuzi zisiwafanye kuropoka tu bila msingi. Alichozungumza rais kuhusu hao waliokuwa malaika hapa ulimwenguni kiko wazi kabisa. Acheni kudhalilisha nafsi zenu nyie "wasomi".
 
Uhuru wa Tanganyika hautakiwi tena kukumbukwa ,kwa vile kuna Tanzania sasa. Siku muhimu hapa ni Ya Muungano tuu.
Hamujui kuwa Nchi inaelekea kwenye serikali Moja?
Sooon muswaada utapelekwa bungeni kuanzisha mchakato wa serikali moja.
Tukiwa na serikali moja ndiyo utakuwa muungano. Ikiwa hivyo Magu ataendelea kupokea saluti kibao.
 
Inashangaza kuona wapigania demokrasia na uhuru wa kujieleza lakini hawapendi kusikia mawazo kinzani.......

Kama moyo wako bado unashindwa kuhimili mawazo kinzani kujiita mwanasiasa!!!.....
Hakuna demokrasia ya kweli. Ni maigizo tu. Ukitoa maoni tofauti unakuwa adui!
 
Wewe ndo ukae ujiulize kwani ujenzi wa hospital ulianza ujenzi hujui wapi? Pakupata pesa au haikuwa na bajeti au ulianza ujenzi bila bajet.

Ukisoma kwa makini mwandishi ajalaumu kwanini pesa ya sherehe ikajenge hospital Ila anaulza?

1: ujenzi ulianza bila bajet?
2: bajet ya hospital hakuwepo?
3:Kama ilikuwepo bajet ya hospital iko wapi?
4:ama Kama ilikuwa haitoshi ndo watoe ufafanuzi.
Sasa nimejua pingapinga wengi hamna taarifa juu ya yale mnayoyapinga. Yaani hata hujui mchakato wa ujenzi ilianzaje unakuja kuleta maneno maneno hapa. Watu kama nyie wa kupuuza tu maana asiyejua haambiwi maana.
 
Mleta mada ulitaka ukae kwenye tv uangalie makomandoo wanapasua tofali, ha ha haipo baba twende na hospitali

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom