kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kiukweli hizi ni dalili za kujichanganya unapokosa fedha. Hata majumbani pesa za christmass tunazipeleka kulipia ada watoto hasa tunaoijali elimu ya watoto wetu kwa kuepuka ile bure mbovu kutokana na ukata.
Unaweza kushinda uchaguzi kibabe lakini huwezi kushinda uchumi kibabe... ndani ya muda mfupi utaonekana kama umepatia lakini punde utatiisha aibu kwa kuvuruga uchumi uliojengwa nakulindwa miaka mingi iliyopita.
- mabenki yanaanguka, mahoteli na maduka makubwa yanakufa, viwanda na makampuni yanafilisika, kilimo kinazorota, bidhaa zinaadimika, ajira zinakosekana, gharama ya maisha inakuwa kubwa nk.
Kufuatia hayo makusanyo ya kodi yatashuka vibaya,misaada toka nje hamna,ushirikiano kimataifa kwenye kiteknolojia,kibiashara,utafiti nk. vinaanguka na taifa litajikuta kwenye dhiki mbaya sana.
Ma mp hawakosoi wanasifu tuu maana wamesaidiwa kufika walipo kwa ubabe wa mkuu wao.
Unaweza kushinda uchaguzi kibabe lakini huwezi kushinda uchumi kibabe... ndani ya muda mfupi utaonekana kama umepatia lakini punde utatiisha aibu kwa kuvuruga uchumi uliojengwa nakulindwa miaka mingi iliyopita.
- mabenki yanaanguka, mahoteli na maduka makubwa yanakufa, viwanda na makampuni yanafilisika, kilimo kinazorota, bidhaa zinaadimika, ajira zinakosekana, gharama ya maisha inakuwa kubwa nk.
Kufuatia hayo makusanyo ya kodi yatashuka vibaya,misaada toka nje hamna,ushirikiano kimataifa kwenye kiteknolojia,kibiashara,utafiti nk. vinaanguka na taifa litajikuta kwenye dhiki mbaya sana.
Ma mp hawakosoi wanasifu tuu maana wamesaidiwa kufika walipo kwa ubabe wa mkuu wao.