Rais Magufuli kuvunja Jiji la Dar es Salaam

Geografia haibadilishwi. Kinachobadilishwa ni kabaraza kalikokuwa kanaitwa halmashauri ya Jiji. Yaani ile Administration inaondolewa.
 
I will be the last person to understand what it means by his statement.
labda Nguruvi3 mtueleweshe concept ya mkoa wa Dsm kuwa jiji na vipi manispaa zake ndio iwe jiji
Heri ya mwaka mpya mwalimu wangu...

Hope all is well with you...

Ok ok ok....
 
Ambalo tofauti yake na hili la sasa ni nini?
Itakuwa haina haka kabaraza kanakojiita halmashauri ya jiji. Unless thinkers waliofanya master minding, hawakufikiria vizuri.
Nilichoelewa mimi ni kwamba hiyo administration inaondolewa kwa kuwa imeonekana haina kazi za msingi za kufanya.
 
Basi ni baba mzuri anazuia mali zisitapanyike kwa kukaa chini nakuona wapi zinapotelea alafu anazuia na kuleta maendeleo. Na wabunge wa viti maalumu pia aangalie jinsi ya kuwapunguza maana hawakuchaguliwa na wananchi.
 
Hapa kuna mchanganyo wa "Halmashuri ya jiji(administration, authority, government, instutution" VS Jiji(jiografia, miundo mbinu, population).
 
Itakuwa haina haka kabaraza kanakojiita halmashauri ya jiji. Unless thinkers waliofanya master minding, hawakufikiria vizuri.
Nilichoelewa mimi ni kwamba hiyo administration inaondolewa kwa kuwa imeonekana haina kazi za msingi za kufanya.
Kwahiyo Ilala inakuwa Jiji ndani ya mkoa wa Dsm, right? Ilala kama Ilala pekee inayo sifa ya kuwa Jiji?
 
Shanwe kwa rais ambae ni juzi tu hapa amesimama na kusema siku ina masaa 48! Clip inasambazwa kwa kasi mno na watu wanapata sababu ya kucheka na kufurahi!
Unaambiwa siku aliposema siku ni masaa 48 hakuna hata aliyecheka pale kanisani
 
Hapana Dar litakuwa Jiji kibiashara na siyo kiutendaji! Alyetia uzi huu hakufafanua sana alivyoeleza Mhe Rais! Litabaki jiji la Dar lakini kihalmashauri hakutakuwa na halmashauri ya Jiji la Dar!

..Inawezekana anayelengwa ni Makonda arudishwe ktk uongozi wa D'Salaam.
 
Yan akivunja maana yake kutakuwa hakuna Dar es Salaam. Au nimeelewaje! Badala yake ilala ndo itakuwa jiji kama sasa tunavosema jiji la dar es salaam. Niko sahihi au.
Hata mimi nimetoka kapa, najiuliza kwani Dar kuna majiji mangapi mpaka livunjwe moja litengenezwe jingine?
 
Kazi ipo
 
Umeongea vizuri. Swali lingine ni wakazi walishirikishwa vipi kwenye hili?

Amandla...
 
hapana amesema Dsm itabaki kuwa jiji lkn kutakuwa na halmashauri moja tuu ndiyo itakayobeba jiji haalmashauri nyingine zote zitaondolewa hadhi ya jiji
binafsi sijaelewa itafanyikaje
Hapana, hakusema hivyo.
Magufuli amesema atalivunja jiji la Dar (ambalo kwa sasa linabebwa na manispaa za Ilala, Kinondoni, Temeke, Ubungo na Kigamboni) ili kuunda jiji la Ilala (ambalo litabebwa na manispaa ya ilala). Kifupi sana Jiji la Dar litakufa rasmi na manispaa ya Ilala itabadilika na kuwa jiji.
 
Siri imevujaaa.....
 
Hakuna namna ya kuliacha jiji liendelee kua kama lilivyo ila kufutafuta mavyeo mengine yasiyokua na tija...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…