Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Rais Magufuli: Lukuvi hawezi kuwa Mgombea urais wa CCM 2025 kwa sababu ana umri mkubwa. Ni fursa ya Vijana

Katiba haina ukomo wa juu wa umri kwa mgombea, labda wabadirishe katiba.
 
Mara hii wameanza kuongelea urais 2025! CCM kweli wameamua kuitafuna nchi milele liwe jua iwe mvua; hii nchi hawaiachii kwa "vikaratasi". Badala ya kuongelea vitu vya muhimu hususan tume huru ya uchaguzi, Katiba Mpya, etc. wanaanza kutajataja nani anafaa na nani hafai mapema hivi? Kwa mtindo huu, tundelee kuzoea "bao la mkono" miaka mingi ijayo!
Chadema wataanza kuongelea Urais miezi mitatu kabla ya uchaguzi hahaha... succession plan muhimu wakati kazi zingine zinaendelea
 
Kwa kauli hiyo, sasa vijana wa CCM wataanza kujikomba komba kwa mzee, kulamba viatu na kuchongeleana nk - yaani kila mmoja kwa style yake ili mradi tu kujaribu kumfurahisha mzee kuelekea 2025...
Hivi unadhani ni rahisi KUMKABILI JPM ili UWACHONGEE wengine?!!!

Labda huyo atakuwa si MAGUFULI...
 
Kabudi kashaambiwa hawezi kuwa Rais...macho yamemmchomoka yakagonga kwenye lensi...yakarudi kwenye soketi

Kama sio miwani kuzuia saa hii tungeshasema mengine

Ila JPM sio poa kuwananga wanaomzidi umri,mbona Joe Biden kawa Rais na miaka 78.!

Au dhambi ya ubaguzi inaendelea.?
Marekani wana wazee wengi mana wanaishi maisha marefu compared na nchi za kiafrika vijana ni wengi kama unataka kushinda kirahisi weka kijana unless kama unataka shida
 
Kabudi kashaambiwa hawezi kuwa Rais...macho yamemmchomoka yakagonga kwenye lensi...yakarudi kwenye soketi

Kama sio miwani kuzuia saa hii tungeshasema mengine

Ila JPM sio poa kuwananga wanaomzidi umri,mbona Joe Biden kawa Rais na miaka 78.!

Au dhambi ya ubaguzi inaendelea.?
Hahaahhahahahahha.asante.kwakunipuzia sumuzangu
 
Natabili SULEIMAN JAFFO TU BE A CCM PRESIDENTIAL CANDIDATE. 2025
 
Back
Top Bottom