Huyu mtu ni kama anamkakati fulani hivi kwamba, hata watu wakiangamia haimuhusu......Naomba wandugu niambieni hapa anaposema alipeleka sample za papai alilipeleka zikiwa katikarangi gani?
Naomba Mods msiunganishe huu uzi tupeane ufahamu...nhci ni yetu sote tunapaswa kuondoa mashaka yote
Tunahitaji Jamiiforum ya watu kama nyie mkuu,,,yani kuna watu wanakera humu,badala ya kuhitaji hata maelezo kitabibu wanasikiliza kina kigogo ni hatari saana hiiNi rahisi kutengeneza sample inayofanana na damu kwa muonekano. Kuna food colors nyingi hivyo unaweza kuchukua sample solution yako ya nanasi halafu una add artificial food colours then si rahisi mtu kiustukia. Ila wasiwasi wangu ni kuwa inawezekana mtengeneza hizo sample nae ni muathirika so anaweza kuzi-contaminates. Lakini hii itakuwa possible tu kama vipimo vinapima directly the virus. Ingawa vipimo Vingi vya virus huwa wanàngalia presence of the antibodies against a particular virus.
Hotuba imenifikirisha kufika hatua ya kuwaza kwamba watanzania ni maboya mnoo
Wataalamu wa Maabara si mpo huku ndani? Internal Quality Control (IQC) na External Quality Control (EQC) huwa zinafanyikaje? Si unapeleka Known POSITIVE na Known NEGATIVE sample then kuona kama utapata majibu accordingly Hii yakupeleka sample za oil chafu si kutaka kuua machine[emoji28]
Naendelea kuchili Zangu makazi mapya, si Urussi Tena
"Either vipimo Ni defective au wataalamu hawana uzoefu ama Kuna uzembe.Tundu Lissu alishasema “tuna Rais wa ajabu haijawahi kutokea “.
VIJANA wa UVCCMTuwashukuru Tiss kwa kuhakikisha Nchi ipo salama
Asante Magufuli
Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh!Ilikua ni katika kuangalia accuracy na competency ya maabara
Halafu ana mpango wa kurudisha ligi.Rais ni mjanja sana, kwenye maziko ya jaji kulikuwa na utitiri wa watu na yeye wala hakuhudhuria kwenye huo msongamano ila kwenye kuapishwa kwa Mwigulu ambapo yeye yupo kuna watu wawili tu![emoji2211][emoji2211][emoji2211]
Inawezekana akawa anasema kweli kwa sababu nchi nyingi zilizoendelea (uk ikiwa moja wapo) walikuwa hawana vifaa vya kupimia ugonjwa huu (corona kit) na walipoanza kuwa nazo walikuwa careful sana kutumia kupima kila anaeshukiwa kuwa na virus kwa sababu kits ni ghali sana. kila kit moja inawagharimu £200+. Kadhalika upimaji wa corona unafanywa kwa kuchua swab ndani ya mdomo wa mtu anaeshukiwa kuwa na ugonjwa na sio damu.
Nasikia maabara yetu wanapima ugonjwa huu kwa kuchukua damu tu!
Hajaielewa nafasi yake kwa kauli anazotoa kuwa watu wanamwamini yeye kwa kuwa ni Mkuu wa nchi. Kauli hizi za mapapai, mafenesi, mbuzi nk zinaweza kuharibu soko la papai na hivyo vingine kwa dakika moja na hivyo kuathiri mapato ya wafanyabiashara.Anasema mapapai yana corona
Mkuu kwani wanapima damu?Ni rahisi kutengeneza sample inayofanana na damu kwa muonekano. Kuna food colors nyingi hivyo unaweza kuchukua sample solution yako ya nanasi halafu una add artificial food colours then si rahisi mtu kiustukia. Ila wasiwasi wangu ni kuwa inawezekana mtengeneza hizo sample nae ni muathirika so anaweza kuzi-contaminates. Lakini hii itakuwa possible tu kama vipimo vinapima directly the virus. Ingawa vipimo Vingi vya virus huwa wanàngalia presence of the antibodies against a particular virus.
Chadema Wana chembe chembe za ubeberu [emoji23][emoji1787][emoji2960]Mabeberu hawajawahi kukasrika kuitwa hivyo
Ila nyie Chadema mnawatetea Mabeberu bila shaka mmnamatatizo makubwa
This guy is one of the dumbest president in our planet. Hivi anajua corona inapimwaje? Kupeleka sample ya papai na kutoa positive siyo conclusion kuwa hamna corona au kuna surbotage. 1. Tanzania ni nchi inayofikika kwa kuwa kutokuwa makini hivyo kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa hao wapimaji walikosea. 2. Inawezekana testkit zinazotumika hazina viwango kwa sababu aliyezinunua alinunua sehemu isiyoaminika. 3. Reaction ya mpapai na hizo dawa inaweza kabisa kutoa positive kwani vipimo tunavyotumia haviangalii wale virus kama wako bali vinaangalia reaction ya chemicals na sample. Kuna sababu nyingi sana na huu upuuzi alioelezea just unaonyesha alivyo mweupe kichwani.Sijakata ila kama wewe ni Eng huwezi kutofautisha sample ya choka na cement hata kama utaletwa maji maji yaka?
Sent using Jamii Forums mobile app