Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Huyu mtu ni kama anamkakati fulani hivi kwamba, hata watu wakiangamia haimuhusu......Naomba wandugu niambieni hapa anaposema alipeleka sample za papai alilipeleka zikiwa katikarangi gani?
Naomba Mods msiunganishe huu uzi tupeane ufahamu...nhci ni yetu sote tunapaswa kuondoa mashaka yote
Huna lolote ujinga tu