macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ndiyo tatizo la nyie mnaochangia kwa ushabiki na siyo facts. Ukiwa unachangia kishabiki utakuwa unaunga mkono upende mmoja tu regardless unafanya upumbavu. Na ndiyo walivyo watu wengi hapa. Lakini mimi huwa nakosoa pale mtu anapokosea na kusifia pale mtu anapofanya vizuri. Hii suala la corona Magufuli anatuangamiza. Sasa hivi kuna vifo vingi mno. Wanaficha. Halafu kwa upumbavu wake bado anahamasisha watu waendeleze mukusanyiko kwa hoja za kijinga kabisa. Unataka nimsifie?
Tutajie nchi mojawapo na uweke chanzo sahihi Cha hiyo taarifa"Either vipimo Ni defective au wataalamu hawana uzoefu ama Kuna uzembe.
Hili la vipimo kuwa defective limetokea nchi mbalimbali na Kuna vipimo ilibidi viwekwe pembeni,
Kwahiyo mheshimiwa Yuko sawa kabisa watu tu ndo wazito kuadopt ukweli,
Hajasema korona haipo"
Copy and paste
Sent using Jamii Forums mobile app
In short ni kwamba kuna uwezekano wa hivyo vipimo kua na hitilafu pia...
Pia inawezekana vikaja huku tayari vikiwa na maambukizi... yote yanawezekana...
Sababu walishatutabiria Africa Covid19 inatupiga vibaya sana...
Cc: mahondaw
Ukiletewa sample yoyote, unachotakiwa ni kufuata utaratibu wa ki uchunguzi na si kuangalia rangi ya sample.Sijakata ila kama wewe ni Eng huwezi kutofautisha sample ya choka na cement hata kama utaletwa maji maji yaka?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uliona vile mkui wa mkoa kilimanjaro anachukuliwa sample usingesema juu ya damu.Duuuh! sasa mananasi na mafenesi yana damu au hizo sampuli zake zilipenyezwa vipi ina maana hao waliokuwa wakipima walikuwa hawaoni na hawajui kuwa hizi sampuli siyo za binadamu jamani??
This dude seem to be so naive and ignorant!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo wako wakujibu hoja umefika hapo?
Mwambie achague kuua uchumi ili aokoe watu. Izi porojo porojo zake kwa sasa hazina maana yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kwa Tz tu?In short ni kwamba kuna uwezekano wa hivyo vipimo kua na hitilafu pia...
Pia inawezekana vikaja huku tayari vikiwa na maambukizi... yote yanawezekana...
Sababu walishatutabiria Africa Covid19 inatupiga vibaya sana...
Cc: mahondaw
Mimi ni mfuasi wake lakini raisi makini hawezi kuongea vile ameleta mkanganyiko mkubwa sana kwenye jamiiIla hajasema hivyo ameweka hoja takafakarishi
1. Je ni mbinu za kibeneru?
2. Je ni mashine
3. Je ni vifaa vya kupimia eg pamba
4. Je ni utaalam mdogo?
5. Je wataalam wamehongwa?
Kwahiyo ameleta maswali kujiuliza, kama papai lina corona je shida ni nini? Je virus wapo kwenye vitu tofauti? Usije ukawa umevaa barakoa na vingine na kuji lockdown 100% halafu ukala papai ukawa na corona.
Tutumie akili sio kumpinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujajibu swali langu nikikuletea hizo utashindwa kuzitofautisha hata kwa macho?Tatizo la watanzania au Africa tunapenda kupinga kila kitu tunapenda kumyattack mtu kuliko kitu " hicho alichosema president na watu wa usalama n mtihan kwa watu wa maabara aliowapa ili kujua n kweli au lah na hii ndo tabia yake ya kufanya personal investigation bila kujua rejea alipokuwa waziri jinsi alivyokuwa anawatokea watu wa mizani au Kule kwenye barabara jinsi alivyokuwa anakusanya taarifa halisi na kuja kuwasuprise wahusika"
Njoo kwenye swala la kumuondoa mganga mkuu wa serikali pia yule mama aliemtibu DODOMA baada ya kupewa sumu kamtoa katibu afya na kumpeleka sijui wap huko na Kama anavyosemaga ukiona amekubadilisha position kipindi muda huo ofisi yako ndo inakuhitaj Basi ujue Kuna shida pahala.
Mie napambana na maneno ya JPM inawezekana Kuna watu wameamua kuizoea Kaz Yan wanarahisisha Mambo muda uende, sikatai hili tatizo Kama halipo lakin mamlaka za vipimo huenda hazipo makini kwa watumushi/vifaa kulingana na maelezo ya JPM.
Tujifunze kuattack sms nasio mtu binafsi " Jilinde uwalinde wengine Chukua tahadhari kwa umakini uwe salama.
Na Kama suala la utabiri WHO wamefanya hivo kwa mataifa yoteIn short ni kwamba kuna uwezekano wa hivyo vipimo kua na hitilafu pia...
Pia inawezekana vikaja huku tayari vikiwa na maambukizi... yote yanawezekana...
Sababu walishatutabiria Africa Covid19 inatupiga vibaya sana...
Cc: mahondaw
Mkuu andika habari kwa kumnukuu kama alivyosema.Nashangaa anawalaumu waliokuwa wanapima kule maabara ya kitaifa kuwa wanamhujumu, kwa kutoa matokeo positive Ya corona, anadai kuwa walionekana ni positive ni uongo, eti alipeleka sample Ya Mbuzi, papai, na vitunguu eti wale watu Wa maaabara ya taifa walimuhujumu, eti na hizo sample hao wa maaabara Walisema ni positive aiseee anaone kuwa hakuna corona anasema hata ligi ya mpira atairuhusu iendelee aisee huyu mzeee akishindwa Jambo anasingizia mabeberu na kuwa anazungukwa, yani hahahahaha, Halafu nashangaaa anaenda anasema corona kweli ipo halafu anasema vipimo ni vya uongo watu waliokuwa wanapima wachunguzwe yani mmmmh simwelewi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2]AiseeUkiletewa sample yoyote, unachotakiwa ni kufuata utaratibu wa ki uchunguzi na si kuangalia rangi ya sample.
Sent using Jamii Forums mobile app